thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,943
- 1,851
Herehoa?,
Kutoka vyanzo vya kuamkinika kabisa vinadai aliyekuwa mume wa star wa bongo movie aunt Ezekiel, anaejulikana kwa jina Sunday Demonte aachiwa guru,
Swali:Hivi kumbe mkata viuno alichukua Mali ya wenyewe au alikuwa na ushahidi wa talaka?
Haya mambo haya naombeni wadukuze tujuzane tafadhal.
thA God thA bubbs!!
Kutoka vyanzo vya kuamkinika kabisa vinadai aliyekuwa mume wa star wa bongo movie aunt Ezekiel, anaejulikana kwa jina Sunday Demonte aachiwa guru,
Swali:Hivi kumbe mkata viuno alichukua Mali ya wenyewe au alikuwa na ushahidi wa talaka?
Haya mambo haya naombeni wadukuze tujuzane tafadhal.
thA God thA bubbs!!