Pre GE2025 Aliyekuwa mwanachana wa CHADEMA Mbunge Jesca Kishoa aomba 2025 itolewe Fomu 1 tu ya Urais kwa Samia Suluhu Hassan

Pre GE2025 Aliyekuwa mwanachana wa CHADEMA Mbunge Jesca Kishoa aomba 2025 itolewe Fomu 1 tu ya Urais kwa Samia Suluhu Hassan

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bado haijajulikana alipata wapi ujasiri wa Kuwapangia Watu wengine mambo yao ikiwa yeye hayuko huko, Au mimi ndio sielewi?

Ujumbe wake huu hapa

Screenshot_2024-09-26-22-30-34-1.png
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Mkoa wa Singida, Jesca Kishoa Jesca Kishoa amewaomba Wakazi wa Kata ya Gumanga kuwa na imani na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2025 na kuwasisitiza kumchagua Rais Samia kuendelea kuiongoza Tanzania huku akisema anaunga mkono kuwa mwaka 2025 kwa upande wa Urais fomu iwe moja tu ya Rais Samia.

Jesca amesema hayo wakati akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Singida ambapo amesema “Nimekuwa nikisikia Viongozi mbalimbali wa CCM kwa ngazi ya Kitaifa wanasema mwaka 2025 fomu ni moja tu, hayo ni mapendekezo yao na Mimi nataka niseme hapa nikiwa mbele yenu na nyie mtasema kama mnaniunga mkono Kata ya Gumanga Mkalama, tunahitaji fomu moja ya nafasi ya Urais, tunahitaji Mama Samia, CCM ipitishe fomu moja kwa nafasi yake ya Urais na sisi tunaunga mkono”

Jesca Kishoa ametoa pia gesi kwa Wanawake pamoja na jezi za mpira kwa timu mbalimbali ili kutoa hamasa katika Sekta ya Michezo.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu
-Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Bado haijajulikana alipata wapi ujasiri wa Kuwapangia Watu wengine mambo yao ikiwa yeye hayuko huko, Au mimi ndio sielewi?

Ujumbe wake huu hapa

View attachment 3107696View attachment 3107697
Huyu si mbunge wa CHADEMA na inafahamika bayana.

By the way, waTanzania kote nchini wameshaamua ya kwamba 2025, ikulu ni ya kipenzi cha ndoto zao za maisha Dr.Samia Suluhu Hassan tena.

Dr.Samia Suluhu Hassan, anakubalika kote nchini, anaaminika kwa wanainchi, anakubalika na anahitajika mno kuwaongoza waTanzania, nadhani hadi 2035 itapendeza zaidi tukijaaliwa 🐒
 
Bado haijajulikana alipata wapi ujasiri wa Kuwapangia Watu wengine mambo yao ikiwa yeye hayuko huko, Au mimi ndio sielewi?

Ujumbe wake huu hapa

Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Mkoa wa Singida, Jesca Kishoa Jesca Kishoa amewaomba Wakazi wa Kata ya Gumanga kuwa na imani na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2025 na kuwasisitiza kumchagua Rais Samia kuendelea kuiongoza Tanzania huku akisema anaunga mkono kuwa mwaka 2025 kwa upande wa Urais fomu iwe moja tu ya Rais Samia.

Jesca amesema hayo wakati akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Singida ambapo amesema “Nimekuwa nikisikia Viongozi mbalimbali wa CCM kwa ngazi ya Kitaifa wanasema mwaka 2025 fomu ni moja tu, hayo ni mapendekezo yao na Mimi nataka niseme hapa nikiwa mbele yenu na nyie mtasema kama mnaniunga mkono Kata ya Gumanga Mkalama, tunahitaji fomu moja ya nafasi ya Urais, tunahitaji Mama Samia, CCM ipitishe fomu moja kwa nafasi yake ya Urais na sisi tunaunga mkono”

Jesca Kishoa ametoa pia gesi kwa Wanawake pamoja na jezi za mpira kwa timu mbalimbali ili kutoa hamasa katika Sekta ya Michezo.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu
Kwani ww umepatia wapi ujasiri wa kuwapangia ccm mambo yao na kuacha mambo yenu ya chadema?
 
H
Bado haijajulikana alipata wapi ujasiri wa Kuwapangia Watu wengine mambo yao ikiwa yeye hayuko huko, Au mimi ndio sielewi?

Ujumbe wake huu hapa

Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Mkoa wa Singida, Jesca Kishoa Jesca Kishoa amewaomba Wakazi wa Kata ya Gumanga kuwa na imani na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2025 na kuwasisitiza kumchagua Rais Samia kuendelea kuiongoza Tanzania huku akisema anaunga mkono kuwa mwaka 2025 kwa upande wa Urais fomu iwe moja tu ya Rais Samia.

Jesca amesema hayo wakati akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Singida ambapo amesema “Nimekuwa nikisikia Viongozi mbalimbali wa CCM kwa ngazi ya Kitaifa wanasema mwaka 2025 fomu ni moja tu, hayo ni mapendekezo yao na Mimi nataka niseme hapa nikiwa mbele yenu na nyie mtasema kama mnaniunga mkono Kata ya Gumanga Mkalama, tunahitaji fomu moja ya nafasi ya Urais, tunahitaji Mama Samia, CCM ipitishe fomu moja kwa nafasi yake ya Urais na sisi tunaunga mkono”

Jesca Kishoa ametoa pia gesi kwa Wanawake pamoja na jezi za mpira kwa timu mbalimbali ili kutoa hamasa katika Sekta ya Michezo.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu
Hawa ndio aina ya wanawake watakaorudi bungeni kutoa burudani ya ngono kwani tayari ana bwana bungeni na clip zake zilinaswa hata kabla hajapewa talaka na kafulila.
 
Tatizo limeanzia hapo kwenye viti maalum, shwalabum ukishashiba huwezi kuwawazia wenye njaa.

Hallelujah!!!
 
H

Hawa ndio aina ya wanawake watakaorudi bungeni kutoa burudani ya ngono kwani tayari ana bwana bungeni na clip zake zilinaswa hata kabla hajapewa talaka na kafulila.
Weeeeee!!!!
 
Uchaguzi unasimamiwa na tume ya uchaguzi..yenye mandate kuviruhusu vyama mbalimbali kugombea pia wagombea mbalimbali kupitia taratibubza vyama vyao. Hata ccm kama wana utaratibu wa kutoruhusu mwingine kugombea sabb aliyepo amalize mihula miwili sio HAKI kwa wanaccm wenyewe
 
Back
Top Bottom