MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ngorongoro Elias Ngorisa amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM kuteuliwa kuwania nafasi hiyo ambapo amesema lengo kuu kuwania nafasi hiyo ni kushirikiana na wana-ngorongoro katika kuwaletea maendeleo pamoja na kuwapambania Maslahi Yao Jimboni Humo.
View attachment 1507364