Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Elias Ngorisa achukua fomu ya Ubunge Jimbo la Ngorongoro kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Elias Ngorisa achukua fomu ya Ubunge Jimbo la Ngorongoro kupitia CCM

nassymuller

Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
30
Reaction score
8
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ngorongoro Elias Ngorisa amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM kuteuliwa kuwania nafasi hiyo ambapo amesema lengo kuu kuwania nafasi hiyo ni kushirikiana na wana-ngorongoro katika kuwaletea maendeleo pamoja na kuwapambania Maslahi Yao Jimboni Humo.
IMG-20200714-WA0031.jpg
 
aliyewahi kuwa sio aliyekuwa ..Mwenyekiti wa halamashauri.

Aliyekuwa mwenyekiti Siroma..hiyo ni zilipendwa
 
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ngorongoro Elias Ngorisa amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM kuteuliwa kuwania nafasi hiyo ambapo amesema lengo kuu kuwania nafasi hiyo ni kushirikiana na wana-ngorongoro katika kuwaletea maendeleo pamoja na kuwapambania Maslahi Yao Jimboni Humo.View attachment 1507364
Nakutafuta ndugu Elias Ngorisa (former Ahmad Ngorisa)
 
Back
Top Bottom