Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Mimi mwenyewe nilishangaa jinsi tyles yenye vigae vizito vilivyounganishwa na sementi vinavyowezwa kupachikwa Kama Lego zile za kupanga au jigsaw games za vidudu au kindegaten.
 
Wajuvi wa haya mambo. Mnisaidie mimi mwana wakwenu huku chato.
Lile kaburi la muheshimiwa lilikua la aina gani?je! Lilijengwa pembeni likawekewa reli au ni ule mfumo wa kisasa. Botion kwaajili ya kuokoa muda baadae watalisakafia?
Wewe unaonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…