Abu Miqdad
Senior Member
- Mar 24, 2024
- 147
- 198
Baadhi ya wanajf bhana! Hapo basi unajikuta Richard Dawkins sijui. Kibri ni kitu hatari sana kwa viumbe.Mungu wao kasingiziwa hapo kwanza hakuna mungu ni nadharia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi ya wanajf bhana! Hapo basi unajikuta Richard Dawkins sijui. Kibri ni kitu hatari sana kwa viumbe.Mungu wao kasingiziwa hapo kwanza hakuna mungu ni nadharia tu
Sawa kiongozi.Mie hata sipo hapo nipo kwa uchaguzi tu
Kama hawakuridhika na hiyo hukumu ya hakimu mkazi, wakate rufaa mahakama kuu. Hata huko mahakama kuu wasiporidhika na hukumu ya jaji wakate rufaa hadi Mahakama ya Rufaa itakayo amuriwa na majaji watatu.Nilisema hakuna Hakmu wa kutoa haki kwenye kesi kama hiyo. Huyu Hakimu anawinda kuwa Jaji, leo apigiwe simu akatae?
Kwa nini Munyazimungu aliumba viumbe wenye kibri, halafu tena anawatishia kuwachoma moto kwa kuwa na kibri alichowaumbia mwenyewe?Baadhi ya wanajf bhana! Hapo basi unajikuta Richard Dawkins sijui. Kibri ni kitu hatari sana kwa viumbe.
Na aliyekuambia Sheria zetu zinaruhusu kufirana? Muwe mmekubaliana au hajakubaliana mkishkwa ni kunyeshewa mvua maishaHapo hakukua na kesi wala.aliyefirwa ni mtu mzima walikua na makubaliano yao
Ndio michezo ya miccmWakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.
Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.
Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).
Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Ni jicho mkuu sio mbususuUkiwaona Ditopile wa mzuzuri alimfumua dereva ubongo njia panda ya kawe Lugalo na akashinda kesi sembuse RC aliyekula mbususu?
Kwa nini Munyazimungu aliumba viumbe wenye kibri, halafu tena anawatishia kuwachoma moto kwa kuwa na kibri alichowaumbia mwenyewe?
dini yangu inanisaidia kushape tabia si kupata cheo..waliomrudisha kwa merits za dini wasingemtoa isipokuwa kwa hilo lililomkuta la kujiharibia mwenyewe.Wewe ndo mjinga basi na wewe dini yako imekuridishia Nini baada ya kuunderperform? Kama aliweza kurudishwa Kwa udini kwanini hakutolewa Kwa udini?
Dr Dorothy Gwajima, njoo Jf Kuna ujumbe wakoWakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.
Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.
Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).
Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Awamu ya sita, wanawake wanajuta!Wakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.
Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.
Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).
Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Watu wa SUA wanamjua vyema, alizoea kutafuna wanafunzi hahahaKwa tunaomjua ni bora asimtaje Mungu, angekausha tu. Aache hiyo tabia
😂🤣😂🤣😅 nani asiyejua atashinda
Imetumia OMO KumsafishaMahakama imemsafisha hamna chombo kingine cha kumsafisha zaidi ya mahakama.