Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu

Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu

Nilisema hakuna Hakmu wa kutoa haki kwenye kesi kama hiyo. Huyu Hakimu anawinda kuwa Jaji, leo apigiwe simu akatae?
Kama hawakuridhika na hiyo hukumu ya hakimu mkazi, wakate rufaa mahakama kuu. Hata huko mahakama kuu wasiporidhika na hukumu ya jaji wakate rufaa hadi Mahakama ya Rufaa itakayo amuriwa na majaji watatu.

Ila wakumbuke mahakamani huwa hakuna haki bali kuna sheria tu. Huyo binti kama alikuwa akifanya naye hilo tendo kwa njia ya kawaida ila siku hiyo ikatelezea pasipo kwa kawaida kwa makusudi au kwa bahati mbaya, hakuna kosa hapo. Isitoshe ni ngumu kuwa na ushahidi wa tukio hilo. Mahakama zote zinategemea ushahidi wa nguvu katika maamuzi yake na siyo hearsay. Hata kama kutakuwa na video clip ya tukio hilo itasemwa tukio lilipangwa. Kama ni semen zitaonekana njia zote kwani maeneo hayo ni jirani sana.
 
Baadhi ya wanajf bhana! Hapo basi unajikuta Richard Dawkins sijui. Kibri ni kitu hatari sana kwa viumbe.
Kwa nini Munyazimungu aliumba viumbe wenye kibri, halafu tena anawatishia kuwachoma moto kwa kuwa na kibri alichowaumbia mwenyewe?
 
Wakuu,

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.

Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.

Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).

Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Ndio michezo ya miccm
 
Wewe ndo mjinga basi na wewe dini yako imekuridishia Nini baada ya kuunderperform? Kama aliweza kurudishwa Kwa udini kwanini hakutolewa Kwa udini?
dini yangu inanisaidia kushape tabia si kupata cheo..waliomrudisha kwa merits za dini wasingemtoa isipokuwa kwa hilo lililomkuta la kujiharibia mwenyewe.
 
Wakuu,

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.

Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.

Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).

Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Dr Dorothy Gwajima, njoo Jf Kuna ujumbe wako
 
Wakuu,

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.

Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.

Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).

Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Awamu ya sita, wanawake wanajuta!
Kila Kona ni uonevu
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Yahya Nawanda aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kulawiti.

Katika uamuzi wake kwenye kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024 uliosomwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Erick Marley, Mahakama hiyo baada ya kupitia maelezo ya ushahidi na vielelezo imejiridhisha kuwa hakukuwa na muunganiko wa ushahidi unaoweza kumtia Dkt. Nawanda hatiani na hivyo imetangaza kumuachia huru kuanzia sasa. #MillardAyoUPDATES
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Yahya Nawanda aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kulawiti.

Katika uamuzi wake kwenye kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024 uliosomwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Erick Marley, Mahakama hiyo baada ya kupitia maelezo ya ushahidi na vielelezo imejiridhisha kuwa hakukuwa na muunganiko wa ushahidi unaoweza kumtia Dkt. Nawanda hatiani na hivyo imetangaza kumuachia huru kuanzia sasa. #MillardAyoUPDATES
 
Namba ya kesi yake ilikuwa ni namba ya bahati ambayo kwake ushindi ilikuwa siyo bahati mbaya...
 
Back
Top Bottom