Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu

Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu

Halafu tukitoka hapo tunaanza hadithi zetu Singapore na Malaysia tulikuwa nao sawa tulipopata uhuru sasa wametupita. Unadhani hizo nchi zina civil servants zenye watu wapuuzi kama watanzania.

Au unataka kujifananisha na nchi kama EU, US, China, Russia unadhani hao civil servants wao wanaweza fanya upuuzi kama huo tena senior kama mkuu wa mkoa na wakamuacha. Upuuzi kama kama huo wao wenyewe (kupitia disciplinary procedure za ndani wanakutia) achilia mbali mahakama.

Nchi ni maskini kwa sababu civil services imejaza watu wasio na uwezo and that deficit per

Hizi naomba niziite punch lines.

Hiyo ndio hali halisi ya nchi yetu.
 
Inasikitisha sana, watu wanarusha rockets na kwenda anga za juu huko, Mataifa yanafikiria generations zao baada ya miaka 1000 huko.

Huku Tanzania-Africa, mtumishi wa senior level (RC) anakuwa connected na case yakufirana vs mwanafunzi wa chuo kikuu ambaye naye mkundu wake unaonekana kuingiliwa so many times ( a university student).

Hili tumelijua kwasababu inaonekana Kuna jambo katikati hapo, Kwa picha kubwa inaonekana jamii yetu sio jamii serious, kuanzia wasomi, wasiosoma, watumishi wa umma kuanzia juniors mpaka senours.
 
nilipitia mwenendo mzima wa kesi ya RC wa simiyu Dkt Yahaya hatua kwa hatua, kuanzia kwa Judge, waendesha mashtaka, na ushahidi wa pande zote mbili.

Yahaya ameshinda kihalali. Kihalali kwa sababu mahakama hua inaangalia ushahidi usio tia shaka ndio inatoa hukumu kwa kuangalia ushahidi, ambao haukuepo.Ushahidi 80% uliokuepo ulikua unatia shaka, hivo well done to the Judge.

But, just simple, RC maybe is true alikua interested na binti. (ye ni mwanaume,hivo ni kawaida kufall inlove unexpected)
nilivoona kesi

1.binti inaonesha ni mtu wa kustarehe hovyo, na haikua mala ya kwanza kufanya hiyo michezo. Ni vile kuna mtu alimueleza kuhusu mahusiano yake na RC (ya muda mchache) na huyo mtu akatumia kama fursa ya kisiasa au kiuchumi.

2.RC, tena mgeni kwako, mmemeet mala moja tu, akuingize kwenye gari, akulaximishe kusex, tena kinyume na maumbile, tena ndani ya gari, packing?, hajakutongoza, amekwambia tu nataka unipe kinyume na maumbile, tena hamjazoeanaa??? does it even make sense?[emoji53]

as a lady, hakuna mwanaume anaweza kuzungumza na mwanamke kuhusu sex then aongelee eti akufanye kinyume na maumbile, unless wewe ni kahaba unajiuza, hivo amekutamani akufanyie hivo sababu wewe ni mfanya biashara na yeye ni mteja, na mteja huchagua kile anachokitamani kwa muda ule.

Na wewe kaka angu Yahaya, uache kutamani ovyo watoto, mkeo mbona mzuri tu na anakupenda, hadi tunahisi labda kweli uliomba huko nyuma kwa binti cas mamaa anakunyima. Ni tabia mbaya uache kutamani huo ushetani[emoji34]
 
Huyo ni Mkuu wa mkoa anaweza kupikiwa majungu na fitina na kuharibiwa kazi yake!! Sasa swali unalo paswa kujiuliza ni je? Kuna watu wa kawaida wangapi wanao fanyiwa hujuma na kuharibiwa kazi kwa maksudi? hao wapo wengi sana kwenye utumishi wa umma.
Viongozi walio pewa dhamana wanapaswa kuwa makini sana, maana wapika majungu na waitini wana nguvu sana, viongozi wasipo kuwa makini tutawapoteza watendaji bora.

Namuomba Rais wetu amrudishe Ndg. Nawanda kwenye kazi yake. Viongozi msisikilize majungu na fitina.

Unamuharibia mwenzio kazi halafu utawalisha watoto wake, shez kqbisa.
 
Back
Top Bottom