Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio hao hao wanatuaminisha na kutukaririsha maandiko hayoNa hapa ndio tunapoona kwamba hawa tunaowaita viongozi wa kidini wamejaa tamaa za kidunia na ujanjaujanja mwingi..
Kazi yake ilikuwa ni ya muda gani au haina ukomo?Acheni wivu kwa kuagwa nongwa Acheni uhuni, subiria aagwe kisha jumatatu mpewe ofisi yenu.
anaweza akabadilisha na hadithi akaweka za kwake??Labda asomeshe wanawe , huyo hafai hata kupelekewa vijana awafundishe
Wakamnyanyue Tanganyika jekiWamuitie mabaunsa wamtoe
Kwani kuna shida gan watu wakimuaga aliyekuwa Kiongozi wao? Mbona hiyo taarifa haina shida yytePamoja na kwamba Uteuzi wake ulitenguliwa, ameendelea kufanya kazi ndani ya Ofisi.
Katibu wa Baraza la Mashehe wa Dar es Salaam Shekh Ally Kizegero aitisha kikao kinyume cha Utaratibu
Nia ni kuwagawa Mashehe wa Dar. Kitendo kinachofanya na Elhad inadaiwa ni Uhaini
====
Aliyekua Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, ameendelea kudharau Mamlaka ya juu ya BAKWATA kwa kuendelea kufanya fujo.
Pamoja na kugoma kukabidhi ofisi kwa Mteule mpya wa nafasi yake Sheikh Walid, kiongozi huyo wa zamani ameitisha kikao cha Mashehe wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa kisingizio cha kuagwa akiwa na malengo ovu.
Akijua hana mamlaka hiyo Elhad kamuagiza Katibu wa Baraza la Mashehe wa Dar es Salaam Shekh Ally Kizegero kuitisha kikao leo saa nane mchana bila ridhaa ya Sheikh wa mkoa wala Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zubeir
Sheikh Alhadi anaagwa, kwani amestaafu?
Katibu wa baraza la masheikh mkoa wa dsm,anaitisha kikao hicho bila kumshirikisha kaimu sheikh wa mkoa Dsm, sheikh walid, na kupokea maelekezo toka sheikh Alhadi, huu ni uhaini uliwa wazi kabisa.
Ni lazima mamlaka za juu BAKWATA Taifa, ziwashuhulikie katibu wa baraza la masheikh mkoa wa dsm na wajumbe wote wa baraza la masheikh mkoa wa dsm wanaoendelea kushiriki katika vurugu hizo,zenye picha ya uhaini.
Alhadi asimamiwe na mamlaka za juu BAKWATA Taifa, ili akabidhi ofisi ya sheikh wa mkoa,haraka iwezekanavyo na aache mara moja kutumia ofisi hiyo kwa ajili ya jumuiya yake ya marishiano(kwani Alhadi anatumia ofisi ya sheikh wa mkoa wa dar es salaam,kuendeshea taasisi nyingine mbili zisizo za Bakwata).
Tangazo la kikao hicho linasomeka.
TANGAZO NDO HILI HAPA CHINI
Assalaam alykum,
Ndugu shekh na mjumbe wa baraza la mashekh mkoa D'salaam
Nitumie fursa hii kukualika katika kikao Cha baraza mkoa D'salaam chenye agenda ya kumuaga Dr.shekh Alhad mussa salum aliyekua shekh wa mkoa D'salaam.
Siku: ni kesho j.mosi
Ukumbi ni karimjee
Muda ni saa nane mchana
Wako Shekh Ally Kizegero
........................
Katibu B/ la mashekh mkoa
Anaagwa acha aagwe mpewe ofisi yenuKazi yake ilikuwa ni ya muda gani au haina ukomo?
Madaraka matamu...Vurugu mechi zote hizi, ni pesa zinatafutwa. Hakuna kingine.
Hana Kwa kwenda huyu jamaaNa hapa ndio tunapoona kwamba hawa tunaowaita viongozi wa kidini wamejaa tamaa za kidunia na ujanjaujanja mwingi..
Pesa tamu bwanaVurugu mechi zote hizi, ni pesa zinatafutwa. Hakuna kingine.
SanaPesa tamu bwana
🤣😂😂🤣🤨🤣🤣Sheikh Mpuuzi Sana, Ameng'ang'ania Kuvunja Unyumba Wa WatuYeye amebariki talaka ya mke wa J lakini yeye hataki utenguzi
Ametulia Anatazama ShowHivi Dr Mwaka anasemaje?
Eti anampenda sana mke wakeHivi Dr Mwaka anasemaje?