Aliyekuwa Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, agoma kukabidhi Ofisi kwa Sheikh Walid

Kwani kuna shida gan watu wakimuaga aliyekuwa Kiongozi wao? Mbona hiyo taarifa haina shida yyte
 
Tufukue makaburi kidogo. Sheikh "ubwabwa" Alhad Mussa alikubali kumkufuru Mungu ili tu kujipendekeza kwa Magufuli. Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un.


Your browser is not able to display this video.
 
Yeye amebariki talaka ya mke wa J lakini yeye hataki utenguzi
 
Sheikh Alhad Hataki Mchezo Anatumia Kifaru Cha Kisasa Toka Germany Kwa Mkoloni
Leopard 2
 
MPENIII ASIMAMIEEE MKOAAAA WA MWAKAAAA JMANI HAAMINII MBAYA KAKUTANA NA VITASAAA VIPYAAA AA HAMUU MBWAAAAYULEE MALIPODUNIANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…