The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Hivi kwa nini wasiwaweke ndani kama akina Rugemalira halafu uchunguzi uendelee....!!Mkuu kenye hotuba ya Jpm mbona hilo swali liliwekwa wazi?
Kwamba 'walimtaim' mwanasheria mkuu akiwa likizo ya kuuguza ndiyo wakafanya waliyoyafanya.
Hili 'saga' litakula vichwa kuanzia wizarani, ofisi ya mwanasheria mkuu na fire.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni "wenzetu.."Hivi kwa nini wasiwaweke ndani kama akina Rugemalira halafu uchunguzi uendelee....!!
Ile ya dharula tu wanaruhusiwaNaomba kujuzwa: Hivi mikataba ya kimataifa wizara husika inaweza kuingia bila kuidhinishwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupambane na hali zetu tulipe kodikinusikwetu, Tiss=collect,analyse,disseminate and ungemalizia kila kitu, okey je hawakuwa au walikuwa wanajua kinachoendelea kabla ya kangi kumaliza mchezo??, nahisi walikuwa hawajui au ni udhaifu flani ndani ya taasisi kushindwa kumbana kabla .
Huyu jamaa yupo kweli?
Wanamsumbua sana mzee wa watuWakuu, nimepata taarifa hivi punde kuwa Aliekua Waziri wa mambo ya ndani Ndg Kangi Lugola amekamatwa na Jeshi la Polisi. Je habari hizi ni za kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app