Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi


Mkuu acha tu, halafu hapo wala huyo Kange hachunguzwi bali inafanyika siasa tu ili kuhadaa umma kuwa kuna hatua kwa wezi.
 
Mkuu acha tu, halafu hapo wala huyo Kange hachunguzwi bali inafanyika siasa tu ili kuhadaa umma kuwa kuna hatua kwa wezi.
Hivi hili si lilisemwa na Prof.Assad?
😑🤨😶😐🤔
 

Kangi anapaswa kuchunguzwa na TAKUKURU maana ndio watakao kuja kutoa ushahidi MAHAKAMANI
sio TISS Mkuu.
 
Mkuu acha tu, halafu hapo wala huyo Kange hachunguzwi bali inafanyika siasa tu ili kuhadaa umma kuwa kuna hatua kwa wezi.
Hahaha ndio maana wanaenda wanacheka na kurudi wanacheka.
Sijawahi kuelewa kazi ya takukuru ni nini nchi hii, eti nayo inaitwa taasisi.
 
Sioni la ajabu hapao; Tanzania ya leo ni nchi ya sheria, siyo ile ya kujuanajuana tena. Sheria itachukua mkondo wake kama inavyokuwa kwa kila mvunja sheria!!
 
Ila jamij yetu bado inahitaji sana elimu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…