Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Na mwaka 2020 kichaa musiba anaingia bungeni na kupewa unaibu waziri
Mark this comment
Sent using Jamii Forums mobile app
Mark this comment
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyaje?
Haiwezekani. Ndio maana umeambiwa walitumia loop hole mwanasheria mkuu alipopata msiba wa karibu yake ndio wasaidizi wakapiga mkono fasta kwa influence ya bwana kangi.Naomba kujuzwa: Hivi mikataba ya kimataifa wizara husika inaweza kuingia bila kuidhinishwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena siku sio nyingi. Maana ile hukumu ya kumuua akwelina kwa makusudi inakaribia kusomwa. Watakula kamba sita sita wote hao
Katibu mkuu na naibu ndio walichomesha lile dili. Katibu mkuu ni ktu wa system(TISS) na aliwekwa pale kwa sababu maalum. Kuweni sana na umakini kwa wanajeshi waliowekwa kwenye taasisi mbalimbali. Wanaandika vizuri tu kabisaLkn katibu mkuu (Major Gen.) Yeye kapewa ubalozi tayari.
JW wanaheshimika sana aiseee.
dodge
Sio wivu mkuu, hizo tuhuma alikuwa nazo ila zilikuwa hazijathibitishwa na mpaka sasa hazijathibitishwa. Kwa hiyo haikuwa sababu ya yeye kutoteuliwa. By the way tuangalie sasa nini kitaendelea kwa kashfa hii maana ndio ipo ya motoNawasubiri wana kijani...tulishasema Kangi ana kesi ya rushwa akiwa kwenye mojawapo ya kamati za bunge tukaonekana tuna wivu wa nyegere!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanasheria mkuu alikuwa msibani ila vijana wake walihusika wakasaini kwa niaba.....nao wanachunguzwa!
Mkuu katibu mkuu hahusiki na lile sakata. Acha kupotosha'Mhe. Rais Magufuli amempongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Jacob Kingu kwa kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake ili kuwajibika kwa dosari hiyo, na amewashangaa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Zimamoto na Uokoaji (CGF) Thobias Andengenye kutowajibika kwa dosari hiyo-Barua ya Gerson Msigwa
Hicho kipande ukikisoma unaonaje nafasi ya Katibu mkuu kwny tuhuma zile mkuu?
dodge
Kama vile uko kwenye mawazo yangu I see this ki ukweliNa mwaka 2020 kichaa musiba anaingia bungeni na kupewa unaibu waziri
Mark this comment
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisababisha baba wa watu akajiuzuru kabla ya muda wake wa kustaafu. Imagine unamdhalilisha Commission GeneralHuyu mkata mauno ndiyo aliwahi kumchimba biti askari magereza mmoja kwa mbwembwe sasa akipatikana na kesi halafu akatua kwenye gereza analosimamia yule jamaa sijui itakuwaje..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Musiba kwa sasa ndiye anayeiongoza CCMMange alimuibua mbwa wa polisi aliyekuwa anamlinda naibu rais, akailingilia maslahi ya Musiba. Hakujua kuwa kwa sasa hawa ndiyo wenye nchi?
Sawa,Naomba unisaidia kunielezea maana ya hayo maandishi mkuu kutoka kwny barua ya msigwa boss.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo ,niagize popcorn mie what goes around comes around hivi zina maana moja ehee ipi sahihi na ipi si sahihiWhat comes around goes around
yess BiShoo haswaaAaa
Wkt Magu ile Juzi pale ikulu alisema Naibu katibu mkuu alijua kinachoendelea na hakuchukua hatua yoyote na baadae akampiga na Madongo kidogo Masauni(N/Waziri)Katibu mkuu na naibu ndio walichomesha lile dili. Katibu mkuu ni ktu wa system(TISS) na aliwekwa pale kwa sababu maalum. Kuweni sana na umakini kwa wanajeshi waliowekwa kwenye taasisi mbalimbali. Wanaandika vizuri tu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app