Aliyekwapua fedha za Kanumba afichuliwa::Jambo Leo

Aliyekwapua fedha za Kanumba afichuliwa::Jambo Leo

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Kamati ya mazishi imemtaja m1 wa shemeji aliyemuoa dada yake kanumba ndiye aliyekwapua sh 2.5m na kutokomea nazo huku akitumia gari la kifahari la kanumba Lexus V8 yenye thamani ya sh mil78,akichezesha taya na mwandishi m1 wa wanakamati alisema hizo fedha kanumba alipewa na startimes kwa ajili ya safari za mikoani kwa ajili ya promotion. Hizo fedha ni tofauti na za michango hizi ni za kanumba ambazo zilikua chumbani kwake.

Nawasilisha.
 
Kamati ya mazishi imemtaja m1 wa shemeji aliyemuoa dada yake kanumba ndiye aliyekwapua sh 2.5m na kutokomea nazo huku akitumia gari la kifahari la kanumba Lexus V8 yenye thamani ya sh mil78,akichezesha taya na mwandishi m1 wa wanakamati alisema hizo fedha kanumba alipewa na startimes kwa ajili ya safari za mikoani kwa ajili ya promotion. Hizo fedha ni tofauti na za michango hizi ni za kanumba ambazo zilikua chumbani kwake.

Nawasilisha.


Toeni ushirikiano sheria ichukue mkondo wake.
 
Kamati ya mazishi imemtaja m1 wa shemeji aliyemuoa dada yake kanumba ndiye aliyekwapua sh 2.5m na kutokomea nazo huku akitumia gari la kifahari la kanumba Lexus V8 yenye thamani ya sh mil78,akichezesha taya na mwandishi m1 wa wanakamati alisema hizo fedha kanumba alipewa na startimes kwa ajili ya safari za mikoani kwa ajili ya promotion. Hizo fedha ni tofauti na za michango hizi ni za kanumba ambazo zilikua chumbani kwake.

Nawasilisha.

kufa kufaana bana, maiti haizungumzi
 
mi nashauri tu kamti ya mazishi muwe na aibu rudisheni fedha za marehemu kwa mama yake na the Great,ni aibu sn km JB ulipohojiwa kwanini hamuendi kumuona Kajala ukajibu si yeye tu na watu wote wasio wanachama wenu wafe,wafiwe,waoe,waolewe hamtakanyaga na ninvyojua ujumbe ule ulikuwa unaufikisha kwa K ambae alikuwa kajitoa tena ni cku chache tu kabla ya kifio cha K,nilishangaa kuwaona bongo movie na JB kuwa kwn kamati mtu akisema mlifuata hela za michango atakuwa amekosea? mliochukua hela rudisheni aibu
 
Ndo hapo sasa,kanumba hakuwa mwanachama wao,kimbelembele hadi kujiweka kwenye kamati why?umaskini unawasumbua
 
Kanumba amewatajirisha wengi sana kwa kifo chake
 
Ndo hapo sasa,kanumba hakuwa mwanachama wao,kimbelembele hadi kujiweka kwenye kamati why?umaskini unawasumbua

ni maskini na malimbukeni at the same tym! nakaa mtaa mmoja na ray, namjua toka enzi hizooooooooooo ni kajamba nani, mpaka leo ana jeuri ya kupita mtaani, full tinted, hasalimii watu, ana nyodo hazina mwisho, ila kwa vile na mimi nna tinted, nikionaga gari yake na mimi napandisha vioo juu jaraka sana, WAMECHAKACHUA PESA ZA MSIBA WASIKATAE! SHAME UPON THEM!
 
Mlitaka azikwe nazo? Mwacheni shemeji atanuwe.
 
Jamani kweli kamati ya mazishi ya kanumba hivi nyie hamji kufa,. Mlichofanya kula hela ya msiba co aibu ni laana. Acheni kumsingizia shemej wa marehemu
 
hii ni movie nyigine mengi yanakuja
 
Duh masikini weee, sasa na LULU atapata nini jamani? mbona wanamuonea mke wa marehemu? LOL
 
Back
Top Bottom