jambo leo linatafuta wasomaji kwa lazima
Duh masikini weee, sasa na LULU atapata nini jamani? mbona wanamuonea mke wa marehemu? LOL
Duh masikini weee, sasa na LULU atapata nini jamani? mbona wanamuonea mke wa marehemu? LOL
ni maskini na malimbukeni at the same tym! nakaa mtaa mmoja na ray, namjua toka enzi hizooooooooooo ni kajamba nani, mpaka leo ana jeuri ya kupita mtaani, full tinted, hasalimii watu, ana nyodo hazina mwisho, ila kwa vile na mimi nna tinted, nikionaga gari yake na mimi napandisha vioo juu jaraka sana, WAMECHAKACHUA PESA ZA MSIBA WASIKATAE! SHAME UPON THEM!
Kumbe!!
na nadhani hao wanaoongelea hizo pesa zilizokuwa ndani nia yao ni ku-divert akili za watu kutoka kwenye hoja ya msingi ambayo ni kiasi kilichochangwa msibani ('kwenye sahani') ambacho ukichukua 10m ya JK + 5m ya Iddi Azzan + 15m ya Nchimbi nk wanasema jumla inakaribia 51m.Wamejuaje kuwa ndani zilkuwa 2.5, walizihesabu. Vina uhusiano gani na rambirambi.
Acha chuki binafsi, maswala ya ray yamefikaje hapa?? na wewe ona aibu
Who is Ray by the way................................!ni maskini na malimbukeni at the same tym! nakaa mtaa mmoja na ray, namjua toka enzi hizooooooooooo ni kajamba nani, mpaka leo ana jeuri ya kupita mtaani, full tinted, hasalimii watu, ana nyodo hazina mwisho, ila kwa vile na mimi nna tinted, nikionaga gari yake na mimi napandisha vioo juu jaraka sana, WAMECHAKACHUA PESA ZA MSIBA WASIKATAE! SHAME UPON THEM!
Mtoa mada muongo,gari ya marehemu alinunua 35M tuu
Next time fanya kauchunguzi kwanza sio unakulupuka,ebu pitia link usome kwanza:
KANUMBA ANUNUA V8 - BongoClan