Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
jamaa anatia huruma sana, we should pray 4 him.
Siku moja lala rumande na teja mbona mtakoma anavyoharisha kwa alosto.
Nyimbo mbaya haimbiwi mtoto,ivi angekua mwanao hata angekua mwizi na unajua kama anaibia watu usingemchukulia dhamana?Hatimaye Rapa Chid Benz leo amefanikiwa kupata dhamana na kutolewa rumande na kurejea uraiani.
Kwa masikitiko makubwa kabisa na dhubutu kusema anaye mmaliza na kumfuta chid benz kwenye ramani ya music au hata maisha yake ni huyo aliyeenda kumwekea dhamana.
Kama alikuwa anasikia kupitia watu kuwa Chid ni teja kitendo kile cha kudakwa live air port kulidhibitisha na kufuta ubishi wa miaka mingi ni kwa nini asingemwacha rumande ili apate muda wa kupumzisha damu then akitoka gerezani moja kwa moja akapatiwe matibabu?
Kwa upande wangu naona huyo aliyemwekea dhamana ni kama amemkatia tiket ya kifo tu wala sioni msaada wake!
Ni hayo tuu...!!!!!!!
Hatimaye Rapa Chid Benz leo amefanikiwa kupata dhamana na kutolewa rumande na kurejea uraiani.
Kwa masikitiko makubwa kabisa na dhubutu kusema anaye mmaliza na kumfuta chid benz kwenye ramani ya music au hata maisha yake ni huyo aliyeenda kumwekea dhamana.
Kama alikuwa anasikia kupitia watu kuwa Chid ni teja kitendo kile cha kudakwa live air port kulidhibitisha na kufuta ubishi wa miaka mingi ni kwa nini asingemwacha rumande ili apate muda wa kupumzisha damu then akitoka gerezani moja kwa moja akapatiwe matibabu?
Kwa upande wangu naona huyo aliyemwekea dhamana ni kama amemkatia tiket ya kifo tu wala sioni msaada wake!
Ni hayo tuu...!!!!!!!
Mnh hivi kwa nini huwa mnalaumu wauzajji lack of rensponsibility kwa wazazi ndio kunapelekea watoto kubwia unga, work hard on your children to be rensponsible,god fearing and discplened individuals and they wont touch that stuff...
Mkuu nitafute tufungue kanisa letu.Kama jela pabaya kamwone sasa hivi ndio utajua nilichoshauri nini.Wengine sie manabii