Aliyemeza mswaki' waondolewe tumboni!

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677
Afueni kwa mwanamume Mombasa baada ya mswaki alioumeza kuondolewa

-David Charo aliyemeza mswaki eneo la Paziani, Kilifi amepata afueni baada ya mswaki huo kuondolewa katika hospitali ya Coast General kupitia mbinu ya ‘Endoscopy’ -Matibabu hayo ya kipekee ambayo labda yalifanyika nchini Kenya kwa mara ya kwanza yalimwopoa jamaa huyo kufanyiwa upasuaji

-Hapo awali, madaktari walisema kuwa walikuwa wakisubiri mswaki wenyewe utoke pekee yake -Madaktari walikiri kuwa angalau kesi 40 za kumeza mswaki zimeripotiwa kote duniani David Charo kutoka kaunti ya Kilifi amepata afueni baada ya mswaki alioumeza kuondolewa katika hospitali ya Coast General.

Mswaki huo uliondolewa tumboni mwake kupitia mbinu ya ‘Endoscopy’ na daktari Ramadhan Omar.

Kulingana na madaktari katika hospitai hiyo, mbinu hiyo ya ‘Endoscopy’ ambayo labda ni ya kwanza kufanyika nchini Kenya ilimwopoa Charo kufanyiwa upasua
 
Habari za kitabibu kulizileta kikuda sasa hizi!!..
Sio wote madaktari kujua 'endoscopy' ni kitu gani!.
 
Habari za kitabibu kulizileta kikuda sasa hizi!!..
Sio wote madaktari kujua 'endoscopy' ni kitu gani!.
Hujui? Endoscopy ni mbinu nzuri sana ya kuokoa muda na mali. Madaktari huwa wanakutoa ujinga kwa kukuchapa teke na ngumi za tumbo hadi ulichokimeza unakichomoa wewe mwenyewe. 😀
 
Hujui? Endoscopy ni mbinu nzuri sana ya kuokoa muda na mali. Madaktari huwa wanakutoa ujinga kwa kukuchapa teke na ngumi za tumbo hadi ulichokimeza unakichomoa wewe mwenyewe. 😀
[emoji23][emoji23] kwahiyo unapigwa mpaka mswaki unapanda mlima (koromeo) kuja juu.. Aseeh!!
 
[emoji23][emoji23] kwahiyo unapigwa mpaka mswaki unapanda mlima (koromeo) kuja juu.. Aseeh!!
Unapigwa hadi wewe mwenyewe hutajua kama ulichokimeza kilitokea puani au sikioni. Alafu jombaa, wakishamaliza shughuli wanakudunga sindano ya kusahau. 😀😀😀😀😀
 
Unapigwa hadi wewe mwenyewe hutajua kama ulichokimeza kilitokea puani au sikioni. Alafu jombaa, wakishamaliza shughuli wanakudunga sindano ya kusahau. 😀😀😀😀😀
hahh.. mkuu mie ni above 25 lakini!..
 
Kawaida endoscopy ni mpira wenye camera unaingizwa tumboni kupitia mdomoni ili kupiga picha mle kugundua iwapo kuna uvimbe etc,

sasa sijui waliunasa vipi mswaki hadi kuuvuta utoke.

Ndo tabu ya kuswakia mswaki wenye shingo nyembamba maana ukitumia nguvu ukatikia mdomoni katika kupanick utaumeza,
haiwezekani kumeza mswaki mzima mzima
 
Kawaida endoscopy ni mpira wenye camera unaingizwa tumboni kupitia mdomoni ili kupiga picha mle kugundua iwapo kuna uvimbe etc,

sasa sijui waliunasa vipi mswaki hadi kuuvuta utoke.

Ndo tabu ya kuswakia mswaki wenye shingo nyembamba maana ukitumia nguvu ukatikia mdomoni katika kupanick utaumeza,
haiwezekani kumeza mswaki mzima mzima
 
Hujui? Endoscopy ni mbinu nzuri sana ya kuokoa muda na mali. Madaktari huwa wanakutoa ujinga kwa kukuchapa teke na ngumi za tumbo hadi ulichokimeza unakichomoa wewe mwenyewe. 😀
Hahaha wewe kweli Pingili
 
maisha magumu mpaka watu wanaamua kula mswaki
 
hahh.. mkuu mie ni above 25 lakini!..
Kama hujui hujui endoscopy ni nini nenda kagoogle. Siku hizi ni makosa makubwa sana mtu kusema hajui jambo fulani. Inatia picha mbaya sana
 
Habari za kitabibu kulizileta kikuda sasa hizi!!..
Sio wote madaktari kujua 'endoscopy' ni kitu gani!.
Umuhimu mkuu zaidi ya Google ni mtu kujiongezea maarifa. Hamna haja ya kuuliza maswali kama haya mtandaoni unless ni neno umetafuta na ukakosa kwenye google.
 
Mbona unarudia rudia sana taarifa? Hii inaitwa Redudancy. i.e Repetition of previously used information unnecessarily. Such repetition does not add any new information so its such a waste of time and effort.
 
Mbona unarudia rudia sana taarifa? Hii inaitwa Redudancy. i.e Repetition of previously used information unnecessarily. Such repetition does not add any new information so its such a waste of time and effort.
Cmon, mimi sioni kosa alivorudia hilo taarifa hapo. Manake ametia habari zaidi na zenye umuhimu kwenye hilo paragraph la mwisho ambayo hayakwepo kwenye paragraph ya hapo awali (hizo mbili ulizonukuu).

Hiyo taarifa iko sawa tu.
 
Kama hujui hujui endoscopy ni nini nenda kagoogle. Siku hizi ni makosa makubwa sana mtu kusema hajui jambo fulani. Inatia picha mbaya sana
Umuhimu mkuu zaidi ya Google ni mtu kujiongezea maarifa. Hamna haja ya kuuliza maswali kama haya mtandaoni unless ni neno umetafuta na ukakosa kwenye google.
Kuna watu wavivu, kila kitu wanataka watafutiwe...
Mnaijua Streisand Effect kama hamuijui nashauri muigoogle!!..Habari haikuwa na wachangiaji sababu mojawapo yawezekana hawakujua nini mleta habari alimaanisha mpaka nilipouliza maana ya neno lililotumika!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…