Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Hmm! Wewe una stamina ya ubishi, kwani ukikubali utapungukiwa na nini!...Mnaijua Streisand Effect kama hamuijui nashauri muigoogle!!..Habari haikuwa na wachangiaji sababu mojawapo yawezekana hawakujua nini mleta habari alimaanisha mpaka nilipouliza maana ya neno lililotumika!..