Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Hmm! Wewe una stamina ya ubishi, kwani ukikubali utapungukiwa na nini!...Mnaijua Streisand Effect kama hamuijui nashauri muigoogle!!..Habari haikuwa na wachangiaji sababu mojawapo yawezekana hawakujua nini mleta habari alimaanisha mpaka nilipouliza maana ya neno lililotumika!..
Asante mkuu tunaanza kuona michango yako sio emojiHmm! Wewe una stamina ya ubishi, kwani ukikubali utapungukiwa na nini!...
Hmm! πAsante mkuu tunaanza kuona michango yako sio emoji
SawaHmm! π
Nimekubali mkuu!...Hmm! Wewe una stamina ya ubishi, kwani ukikubali utapungukiwa na nini!...
π±π±π±π±π± Hmm!... Kweli CCM ina wenyewe! πππππ...
Jamaa mzee wa nyembe hatari,hahaUnapigwa hadi wewe mwenyewe hutajua kama ulichokimeza kilitokea puani au sikioni. Alafu jombaa, wakishamaliza shughuli wanakudunga sindano ya kusahau. πππππ
Naona leo unatupia angalau sentensi moja moja. Mkuu, umehama backbench nini? ππ±π±π±π±π± Hmm!... Kweli CCM ina wenyewe! πππππ...
πππ Wanasema ukishikwa shikamana...Naona leo unatupia angalau sentensi moja moja. Mkuu, umehama backbench nini? π
Kweli, ushikwapo shikamana.πππ Wanasema ukishikwa shikamana...