Aliyemleta Mayele Yanga ni Peponi moja kwa moja

hamsa hamsa

Member
Joined
Apr 27, 2023
Posts
51
Reaction score
126
Nikiwa timamu na akili zangu zote nimeamua kuzichukua dhambi zote za yule aliyefanikisha usajili wa Fiston Kalala Mayele[emoji146].

Huu ni usajili bora zaidi kwenye ligi yetu toka kuumbwa kwa ulimwengu huu. Hakujawahi kuwa na Mshambuliaji aliyekamilika idara zote.

Huyu Mayele angelikuwa yupo katika timu yangu ya Arsenal ubingwa wa EPL tungeutangaza mapema sana.
 
Nina shaka kama tutakuwa naye msimu ufuatao,japo binafsi sitamsahauπŸ˜‚
 
Tunamshukuru, baada ya kuchukua vikombe vyetu basi tumtakie kila la heri maana kubaki nae sidhani kama ni rahisi.
 
Dhambi za Mayele apewe Inonga
 
Ndio anawafanya wanaume mnasema "jamani mayele ANANIPA RAHA mie"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…