Aliyemleta Mayele Yanga ni Peponi moja kwa moja

Aliyemleta Mayele Yanga ni Peponi moja kwa moja

hamsa hamsa

Member
Joined
Apr 27, 2023
Posts
51
Reaction score
126
Nikiwa timamu na akili zangu zote nimeamua kuzichukua dhambi zote za yule aliyefanikisha usajili wa Fiston Kalala Mayele[emoji146].

Huu ni usajili bora zaidi kwenye ligi yetu toka kuumbwa kwa ulimwengu huu. Hakujawahi kuwa na Mshambuliaji aliyekamilika idara zote.

Huyu Mayele angelikuwa yupo katika timu yangu ya Arsenal ubingwa wa EPL tungeutangaza mapema sana.
67271819.295.jpg
 
Nikiwa timamu na akili zangu zote nimeamua kuzichukua zambi zote za yule aliyefanikisha usajili wa Fiston Kalala Mayele[emoji146].

Huu ni usajili Bora zaidi kwenye ligi yetu toka kuumbwa kwa ulimwengu huu.
Hakujawahi kuwa na Mshambuliaji aliyekamilika idara zote....

Huyu Mayele angelikuwa yupo katika timu yangu ya Arsenal ubingwa wa Epl tungeutangaza mapema sana.

Uzi tayari........
View attachment 2625742
Nina shaka kama tutakuwa naye msimu ufuatao,japo binafsi sitamsahau😂
 
Nikiwa timamu na akili zangu zote nimeamua kuzichukua zambi zote za yule aliyefanikisha usajili wa Fiston Kalala Mayele[emoji146].

Huu ni usajili Bora zaidi kwenye ligi yetu toka kuumbwa kwa ulimwengu huu.
Hakujawahi kuwa na Mshambuliaji aliyekamilika idara zote....

Huyu Mayele angelikuwa yupo katika timu yangu ya Arsenal ubingwa wa Epl tungeutangaza mapema sana.

Uzi tayari........
View attachment 2625742
Tunamshukuru, baada ya kuchukua vikombe vyetu basi tumtakie kila la heri maana kubaki nae sidhani kama ni rahisi.
 
Nikiwa timamu na akili zangu zote nimeamua kuzichukua zambi zote za yule aliyefanikisha usajili wa Fiston Kalala Mayele[emoji146].

Huu ni usajili Bora zaidi kwenye ligi yetu toka kuumbwa kwa ulimwengu huu.
Hakujawahi kuwa na Mshambuliaji aliyekamilika idara zote....

Huyu Mayele angelikuwa yupo katika timu yangu ya Arsenal ubingwa wa Epl tungeutangaza mapema sana.

Uzi tayari........
View attachment 2625742
Dhambi za Mayele apewe Inonga
 
Ndio anawafanya wanaume mnasema "jamani mayele ANANIPA RAHA mie"
 
Back
Top Bottom