Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
Habari wana na binti wa Mungu.
Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani?
Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah bless, jah akulinde" au kuna miungu mingine inaitwa jah? Maana niko njia panda.
Updates....
Tayari nimeshapata jibu, asanteni wote mlio nijuza maana nilikua sijui.
Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani?
Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah bless, jah akulinde" au kuna miungu mingine inaitwa jah? Maana niko njia panda.
Updates....
Tayari nimeshapata jibu, asanteni wote mlio nijuza maana nilikua sijui.