Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Hahaaa unachekesha au labda hujui kidogo hapo!Ni kihebrania mkuu
Wayahudi (Jews) hutumia lugha ya kiebrania yaani Hebrew!! So usishangae nilivyosema uyahudi maanake lugha yao ni kiebrania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa unachekesha au labda hujui kidogo hapo!Ni kihebrania mkuu
Ok mkuu case closedHahaaa unachekesha au labda hujui kidogo hapo!
Wayahudi (Jews) hutumia lugha ya kiebrania yaani Hebrew!! So usishangae nilivyosema uyahudi maanake lugha yao ni kiebrania
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wajamaica nao watakua na uzi wao wanauliza aliempa Jah jina la Mungu ni nani? [emoji12] [emoji12]
In the Bible King James Version (KJV) Psalm (Zaburi) 68:4 utakuta JAH imetumika kama jina la Mungu. katika versions nyingine (karibu) zote wametumia LORDHabari wana na binti wa Mungu.
Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani?
Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah bless, jah akulinde" au kuna miungu mingine inaitwa jah? Maana niko njia panda.
Updates....
Tayari nimeshapata jibu, asanteni wote mlio nijuza maana nilikua sijui.
Acha kuwazungumzia watu wewe ndo umetumia neno "nickname" wakati ni kosa.Tangu wabongo walipoanza kulitumia katika maneno/ sentensi za kiswahili