EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka.
Anataka kutueleza nini KP?
Anataka kutueleza nini KP?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe umeelewa nini na ulumumba wako.Ngoja Bavicha waje!
Kikulacho ki nguoni mwako!Kwani wewe umeelewa nini na ulumumba wako
Inamaanisha wanaCCM wanamuhujumu Bi. Mkubwa??Mwanamke amelala na adui kajifunika nae shuka moja. Inawezekana hajui kama ana adui ndani ya shuka au anajua ila kwsbb adui hajaonesha makali mwanamke nae kamkubatia anaamini hata mdhuru.
Habari ndiyo hiyoooinamaanisha wanaCCM wanamuhujumu Bi. Mkubwa??
So wenyewe kwa wenyewe mnakulanaKikulacho ki nguoni mwako!
Waulize Freeman na Halima kilichowatokea!so wenyewe kwa wenyewe mnakulana
Vipi wale wa CCM video zao zilizojuja mwaka janaa mwanzoniWaulize Freeman na Halima kilichowatokea!
Mbona kama mama kalala fofofo na nyoka yumo humo?? Au ndio wamekubaliana kulala pa1??Mwanamke kajifunika shuka la rangi ya kijani maana yake Chama kongwe.ndani ya shuka yupo mwanamke na nyoka nyuma yake.jamaa anatoa tahadhari kwa mama awe makini ndani ya Chama chake kuna madui wenye sumu kali waliopo nyuma yake
Muda wowote mama anaweza piga sumu na maadui na kama mnavyojua sumu ya nyoka ukichelewa umeisha ..tahadhari kwa mama hasa sukuma gang
Yupo usingizini bado hajashtukaMbona kama mama kalala fofofo na nyoka yumo humo?? Au ndio wamekubaliana kulala pa1??
Mama kalala na nyoka huku kajifunika shuka la kijani. means nyoka yumo ndani ya chama.. na mama kawaamini.Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka.
Anataka kutueleza nini KP?View attachment 1752383