Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Hana tofauti na dalali mkubwa bwana Mbowe....Dalali Zitto hajui hata anafanya nini?
Kila uchao mnasema hivyohivyo tu.....endeleeni na dua la kuku...Muda utazungumza
Mungu si wa pekee yenu...Kwa sanduku la kura ccm hatuiwezi lkn kwa dua na sala Mungu atatusaidia kuwafarakanisha na wawe vituko
Unatia aibu, yaani hadi lunch umeshindwa kujinunulia unaenda kula lumumbaKila uchao mnasema hivyohivyo tu.....endeleeni na dua la kuku...
Karibu Lumumba tupate lunch[emoji120]
Saa inakuja mizimu yenu haitafanya kazi tenaMungu si wa pekee yenu...
Nasi tunaomba sana....
Na ile mizimu yetu ya kule Bagamoyo haijatuacha hataaa [emoji1787][emoji1787]
Chama kinalipia acha shobo banaaa[emoji1787]Unatia aibu, yaani hadi lunch umeshindwa kujinunulia unaenda kula lumumba
Mizimu haifeli...Saa inakuja mizimu yenu haitafanya kazi tena
Vipi na mumeo?Hana tofauti na dalali mkubwa bwana Mbowe....
Alivuta mpunga mrefu 2005 kule Mara kutoka kwa "R....A"[emoji1787]
Akavuta tena 2015 baada ya yule mshenga kumfuata.....
Ni mrefu haswa ameufichia "offshore accounts" Nicaragua....jamaa kweli ni dalali kubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mume wangu anataka mke mwingine aliye shogeeer...nimekupendekeza akuoe wewe...Vipi na mumeo?
Hakuna shida nitampigia cmMume wangu anataka mke mwingine aliye shogeeer...nimekupendekeza akuoe wewe...
Sawa dheha?!!!
...anapenda sana machoookoor wanaompigia simu.....[emoji120]Hakuna shida nitampigia cm
Poa dada angu...anapenda sana machoookoor wanaompigia simu.....[emoji120]
Sawa pungerrrr [emoji120]Poa dada angu
Zanzibar si nchi....Kwa nini anaongelea Tanzania? Yeye mazingira ya Zanzibar…
Nitajie faida 3 tu za uongo ulizopata tangu uanze tabia hiyo mbayaHana tofauti na dalali mkubwa bwana Mbowe....
Alivuta mpunga mrefu 2005 kule Mara kutoka kwa "R....A"[emoji1787]
Akavuta tena 2015 baada ya yule mshenga kumfuata.....
Ni mrefu haswa ameufichia "offshore accounts" Nicaragua....jamaa kweli ni dalali kubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao interest yao ni Zanzibar hawahusiki na TanganyikaMara zote wadau wa siasa wamehoji malengo na dhamira halisi ya ACT WAZALENDO kwenye siasa za Tanzania , mpaka sasa bado majibu yanatafutwa .
Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie kuelewesha wengine
Mkubwa huyo amedai kwamba Wawekezaji Waje nchini Tanzania , maana hali ya kisiasa ni Tulivu , cha kushangaza Mwanachama wao ametekwa na kuteswa juzi tu huko Mbarali (hii ni kwa taarifa ya chama chake) , au kwa vile aliyeteswa ni Mtanganyika ndio maana hali inadaiwa ni shwari , angetekwa wa Mchambawima au Chake chake angepuuza ?
View attachment 2758171View attachment 2758173