Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulalama kama vile mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe.

Hii ni hatari sana Simba kumpa mtu kama huyu 49% peke yake kabisa kabisa. Ogopa sana mtu anayelalama wakati anakuhudumia, muda wowote atakuacha.

Ambacho sijamuelewa ni:
1. Hiyo tume ya fair competition amemalizana nayo kivipi?

2. Zile 49% hiza ni zake zote mtu mmoja? Kama sio mbona cheque imetoka kwa mo peke yake, hao wawekezaji 2 wengine wanaotakiwa na kanuni wako wapi na ni nani?

3. Alisema ameihudumia Simba 24.3b kwa miaka 4, hizo ni pamoja get collections, mauzo ya jezz, michango ya wanachama, bonuses za kuingia hatua ya makundi na robo finali, bonus za Sportpesa, zawadi za ushindi wa ligi na FA, Sportpesa, haki za matangazo na kodi za majengo ya Simba?

4. Je, matangazo yake ya mo energy kwenye jezz ya Simba thamani yake ni sh ngap, anailipa Simba kiasi gani kutangaza? Je, Iko humo kwenye 24.3b alizodai ameipa Simba?

5. Kwanini huwa analalamika kuhusu kuihudumia timu kila anapopata nafasi ya kuzungumza?

6. Je, hizo 20b ameshazilipa kwenye account ya Simba tayari au ndio anataka kwenda kuzilipa?
 
Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
 
Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
Mbumbumbu katika ubora wao muachwe na litimu lenu maana Mo anawapa mapenzi motomoto hamuoni wala hamtaki kusikia , kila kitakachohojiwa ni utopopolo.
Mngepewa nchi hii nyie mngeshatuuza watanzania wote kwa mabeberu maana so kwa upofu huo wa akili.
 
Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
We utakuwa mzaramo ukishapata mihogo unaridhika...
Hizi hoja kuntu na huyu ndiye mwana simba wa ukweli
 
Wasio na akili timamu utawasikia wakisema ili mradi timu yao inafanya vizuri viwanjani haya mengine hayawahusu.

Kumbe ni ujinga umewajaa kichwani na baadae huko mbele mambo yakienda mlama watashindwa kutafuta mchawi ni nani.
 
Mo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..

Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?

Maswali mengi kuliko majibu
 
Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulala kama mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe...

Mkuu, naona unamlalamikia Mo kwamba anapenda kulalamika.

Yaani kwa kifupi wewe na huyo Mo wako mna malalamiko.

Anyways, mambo mengi uliyohoji hapo juu yana majibu yake ni vile tu hujaamua kuyapata.

Ukienda FCC watakupa utaratibu mzima wa structure ya uwekezaji wa Simba.
Ukienda kwenye vikao halali vya Simba utajua matangazo ya bidhaa za Mo yapo hapo kwa misingi ipi, utajua hizo bilioni 24 zilikua ni "additional funds" au ni zinajumuisha hizo gate collection zako n.k

Utajua kwamba hela imeshawekwa benki ama la (hili atakujibu yule mdhamini uliyemwona jana).

Huku ulikokuja, utakutana na watu wengi sana wanao mlalamikia Mo ba wengine wanakulalamikia wewe.
 
Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulala kama mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe.

Hii ni hatari sana Simba kumpa mtu kama huyu 49% peke yake kabisa kabisa. Ogopa sana mtu anayelalama wakati anakuhudumia, muda wowote atakuacha.

Ambacho sijamuelewa ni:

1. Hiyo tume ya fair competition amemalizana nayo kivipi?
2. Zile 49% hiza ni zake zote mtu mmoja? Kama sio mbona cheque imetoka kwa mo peke yake, hao wawekezaji 2 wengine wanaotakiwa na kanuni wako wapi na ni Nani?

3. Alisema ameihudumia Simba 24.3b kwa miaka 4, hizo ni pamoja get collections, mauzo ya jezz, michango ya wanachama, bonuses za kuingia hatua ya makundi na robo finali, bonus za Sportpesa, zawadi za ushindi wa ligi na FA, Sportpesa, haki za matangazo na kodi za majengo ya Simba?

4. Je, matangazo yake ya mo energy kwenye jezz ya Simba thamani yake ni sh ngap, anailipa Simba kiasi gani kutangaza? Je, Iko humo kwenye 24.3b alizodai ameipa Simba?

5. Kwanini huwa analalamika kuhusu kuihudumia timu kila anapopata nafasi ya kuzungumza?

6. Je, hizo 20b ameshazilipa kwenye account ya Simba tayari au ndio anataka kwenda kuzilipa?
Kabla ya yote unateseka ukiwa wapi? Hivi kwanini kila mshabiki wa yanga ni mchambuzi wa pesa za Mo?
 
Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
Nae keshajua kuwa Simba ni majuha, kushinda mechi, na ubingwa kunawanyamazisha kimyaa na kuwafanya wakenue tu kama maombie. Hivyo atafanya kila ajuacho na awezalo kuhakikisha timu inashinda, maana hiyo ndiyo ganzi ya wanasimba. Ona anaongelea kawakopesha Simba 24.3b lakini hasemi kuhusu mapato ya zile nyomi za Haji Manara viwanjani, mauzo ya jezz, bonus za ubingwa, kutangaza bidhaa zake kwakutumia Simba wala kuuza wachezaji, wala kodi za majengo wala wadhamini.

Wajanja kama Dr. Kingwangala ni wachache sana, na hao wanapigwa vita na mazombie wasihiji. Bila akina kingwangala hizo 20b zisingeletwa hakiya mama.
 
Nae keshajua kuwa Simba ni majuha, kushinda mechi, na ubingwa kunawanyamazisha kimyaa na kuwafanya wakenue tu kama maombie. Hivyo atafanya kila ajuacho na awezalo kuhakikisha timu inashinda, maana hiyo ndiyo ganzi ya wanasimba. Ona anaongelea kawakopesha Simba 24.3b lakini hasemi kuhusu mapato ya zile nyomi za Haji Manara viwanjani, mauzo ya jezz, bonus za ubingwa, kutangaza bidhaa zake kwakutumia Simba wala kuuza wachezaji, wala kodi za majengo wala wadhamini.

Wajanja kama Dr. Kingwangala ni wachache sana, na hao wanapigwa vita na mazombie wasihiji. Bila akina kingwangala hizo 20b zisingeletwa hakiya mama.
Hiyo nyomi huwa haileti zaidi ya 400M lakini mishahara ya Simba kwa mwezi ni 350M ukumbuke hizo nyomi sio kila mwezi.
Usajili Simba ni wa hela kubwa let say extension contact ya chama ni 500M lakini konde boy alinunuliwa kwa 650M bado chikwende ,Fraga nae alitumia zaidi ya 300M Sasa hapo ona taswira ya bajeti ya Simba kwa msimu moja
 
Mkuu, naona unamlalamikia Mo kwamba anapenda kulalamika.

Yaani kwa kifupi wewe na huyo Mo wako mna malalamiko.

Anyways, mambo mengi uliyohoji hapo juu yana majibu yake ni vile tu hujaamua kuyapata.

Ukienda FCC watakupa utaratibu mzima wa structure ya uwekezaji wa Simba.
Ukienda kwenye vikao halali vya Simba utajua matangazo ya bidhaa za Mo yapo hapo kwa misingi ipi, utajua hizo bilioni 24 zilikua ni "additional funds" au ni zinajumuisha hizo gate collection zako n.k

Utajua kwamba hela imeshawekwa benki ama la (hili atakujibu yule mdhamini uliyemwona jana).

Huku ulikokuja, utakutana na watu wengi sana wanao mlalamikia Mo ba wengine wanakulalamikia wewe.
Kama ni hivyo basi asingeitisha press conference kumbe wadhamini wanafahamu kila kitu. Ametusumbua kutuita kwasababu gani kama kila kitu kinafahamika kwenye kamati. Mo peke yake ndiye katoa 20b za 49% ya hisa, kanuni inasema hivyo?
 
Nae keshajua kuwa Simba ni majuha, kushinda mechi, na ubingwa kunawanyamazisha kimyaa na kuwafanya wakenue tu kama maombie. Hivyo atafanya kila ajuacho na awezalo kuhakikisha timu inashinda, maana hiyo ndiyo ganzi ya wanasimba. Ona anaongelea kawakopesha Simba 24.3b lakini hasemi kuhusu mapato ya zile nyomi za Haji Manara viwanjani, mauzo ya jezz, bonus za ubingwa, kutangaza bidhaa zake kwakutumia Simba wala kuuza wachezaji, wala kodi za majengo wala wadhamini.

Wajanja kama Dr. Kingwangala ni wachache sana, na hao wanapigwa vita na mazombie wasihiji. Bila akina kingwangala hizo 20b zisingeletwa hakiya mama.
Yanga fanyeni usajili achaneni na habari za simba.Walipokosea nyinyi fanyeni vizuri upande wenu. Hamtapata makombe kwa kumchambua MO
 
Kama ni hivyo basi asingeitisha press conference kumbe wadhamini wanafahamu kila kitu. Ametusumbua kutuita kwasababu gani kama kila kitu kinafahamika kwenye kamati. Mo peke yake ndiye katoa 20b za 49% ya hisa, kanuni inasema hivyo?
Muda mnaopeteza kujadili mapungufu ya hasimu wenu simba mngekuwa mnaijenga yanga hakika mngekuwa mbali sana
 
Kabla ya yote unateseka ukiwa wapi? Hivi kwanini kila mshabiki wa yanga ni mchambuzi wa pesa za Mo?
Usilalamike kama mo, jibu maswali haya kama una unaachokifahamu. Mnataka watu wa sympathise na mo kwakuwa eti Simba inaleta makombe anayedanganya watu eti kila mtu Tanzania ni Simba na mashabiki wa Simba Wana purchasing power kubwa kuliko wale wa Yanga. Huo utafiti aliufanya lini? Sample size yake ilikuwa watu wangapi? Ethical clearance aliipata wapi? Amelidanganya taifa. Lengo la uongo huo ni wivu wa Azam media kuipa Yanga 40b wakati yeye kasini hela kiduchu, pia anataka Sportpesa impe hela nyingi kuliko Yanga.
 
Kuwekeza siyo kujitolea. Ni lazma uwekeze na upate faida ya uwekezaji. Mo hajawahi kuweka faida anayoipata kwa uwekezaji wake na kimsingi anapata pesa nyingi kuliko alichowekeza. Its just business si kwamba anaipenda sana Simba No ni source of income kwake. Cha msingi hapa simba wangeweka wazi ili hata wawekezaji wengine wawe huru kuwekeza.
 
Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulalama kama vile mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe.

Hii ni hatari sana Simba kumpa mtu kama huyu 49% peke yake kabisa kabisa. Ogopa sana mtu anayelalama wakati anakuhudumia, muda wowote atakuacha.

Ambacho sijamuelewa ni:

1. Hiyo tume ya fair competition amemalizana nayo kivipi?
2. Zile 49% hiza ni zake zote mtu mmoja? Kama sio mbona cheque imetoka kwa mo peke yake, hao wawekezaji 2 wengine wanaotakiwa na kanuni wako wapi na ni Nani?

3. Alisema ameihudumia Simba 24.3b kwa miaka 4, hizo ni pamoja get collections, mauzo ya jezz, michango ya wanachama, bonuses za kuingia hatua ya makundi na robo finali, bonus za Sportpesa, zawadi za ushindi wa ligi na FA, Sportpesa, haki za matangazo na kodi za majengo ya Simba?

4. Je, matangazo yake ya mo energy kwenye jezz ya Simba thamani yake ni sh ngap, anailipa Simba kiasi gani kutangaza? Je, Iko humo kwenye 24.3b alizodai ameipa Simba?

5. Kwanini huwa analalamika kuhusu kuihudumia timu kila anapopata nafasi ya kuzungumza?

6. Je, hizo 20b ameshazilipa kwenye account ya Simba tayari au ndio anataka kwen
We Manara we, mbona wewe kinganganizi, sana. Umeona utumie JF kumsagia aliyekuwa boss wako? Kwani Mo kakukosea nini? Tuache simba yetu.
 
Back
Top Bottom