Elections 2015 Aliyemuibua Magufuli anastahiliki sifa za kipekee!!

Yale madai yako malipo ya overtime kwa miaka mitatu umelipwa ? mnaposifia muwe na akiba ya maneno , haya nenda kamlilie sasa .
 
Mwana Diwani Nakusalimia
 
[emoji16]
 
Kazi zake haswa Wakati akitumika kama waziri katika wizara mbalimbali, ndizo hasaaa zilimuibua
 
Hii ndio ccm nayoijua Mimi, enzi Hizo viongozi wamechoka hasa mcheck magufuli na mkapa yaani wamechakaa nguo za magufuli utadhani zimetoka mdomoni mwa ng'ombe.........
Ulibehave kitoto hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…