Aliyemwelewa Zaka za Kazi wa Azam FC anieleweshe

Aliyemwelewa Zaka za Kazi wa Azam FC anieleweshe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
WhatsApp-Image-2020-07-02-at-12.39.58.jpeg

" Kama Azam FC tukiamua Kumuuza Mchezaji wetu Prince Dube kwa hapa Tanzania ni Klabu moja tu itaweza Bei yetu ila kuna Klabu nyingine isithubutu kwani itauza Jengo lake, Chura walioko Jirani na Magodoro yao yanayododa Madukani "

Amezungumza haya leo ( jioni hii ) huko Wasafi FM baada ya Kupigiwa Simu na Mtangazaji Msomi kuliko akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule ( ambao ni Yanga SC lia lia ) Ahmed Abdallah na Kupiga 'Dongo' hilo ambalo mpaka hivi sasa GENTAMYCINE sijajua amelielekeza Mtaa upi kati ya ile Miwili ya Msimbazi na Jangwani.
 
" Kama Azam FC tukiamua Kumuuza Mchezaji wetu Prince Dube kwa hapa Tanzania ni Klabu moja tu itaweza Bei yetu ila kuna Klabu nyingine isithubutu kwani itauza Jengo lake, Chura walioko Jirani na Magodoro yao yanayododa Madukani "

Amezungumza haya leo ( jioni hii ) huko Wasafi FM baada ya Kupigiwa Simu na Mtangazaji Msomi kuliko akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule ( ambao ni Yanga SC lia lia ) Ahmed Abdallah na Kupiga 'Dongo' hilo ambalo mpaka hivi sasa GENTAMYCINE sijajua amelielekeza Mtaa upi kati ya ile Miwili ya Msimbazi na Jangwani.
Ok kalielekeza yanga,basi asubiri tu siku tunamloanisha matakoni ndio ataielewa yanga
 
Huyu si ndio wanasimba walimtolea povu baada ya mechi ya Yanga dhidi ya Azam baada ya kukereka na kauli ya Simba kuwaamrisha wamfunge yanga na akaonekana kuwa ni mpenzi wa timu ya utopolo
 
Back
Top Bottom