Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana mkuuMaisha ni sanaa na kuishi ni maigizo tu. Dunia hii tunapita nyie mlioko maofisini kama mnaweza saidieni watu wanaoomba Msaada kwenu.Ilikuwa hivi jamaa nilikutana nae miaka mitatu nyuma mwaka 2022, ofisini kwa DC kwa yule Dada ambaye sasa hivi ni Don kule kwenye Chama cha kijani kibichi upande wa kina Mama yaani UWT.
Mimi nilikuwa na project yangu na Yeye ya kwake, stori za hapa na pale jamaa kanigusia inshu iliyomleta na mimi yangu kumbe zinafanana Bwana, tofauti yake kuwa Yeye alikuwa anaomba kibali Cha kuingia ndani ya Wilaya mimi nilikuwa naomba sapoti yake maana alinipromise nije nimuone. Jamaa alikuwa na ufadhili wa makampuni kadhaa na baada ya kunisikiliza kumbe inshu yangu ilikuwa ya moto yaani nikiiweka mezani kwa wale jamaa zake tutakuwa tumetoboa. Tukapanga mihadi ya kukutana tena tukafanya hivyo kama mara tano kwa siku tofauti tofauti.
Inshu ikaiva jamaa akaanza kona simu hapokei kila nikimcheki anakata simu,miezi ikakata Mwisho wa siku akanitumia meseji usinisumbue akaniblock. Sasa jana mabosi wote wamesafiri ofisi nimekabidhiwa mimi, naona jamaa anakuja na mgeni anamtambulisha kuwa huyo ndie boss eleza shida yako. Nikamkakaribisha kucheki sura lo! Kama nimewahi kuiona sehemu hivi, si mwamba akajitambulisha asalale ni yule yule jamaa.
Si unajua waswahili wanamsemo wao kuwa mla ndizi mwepesi kusahau ila mtupa maganda hawezi kusahau. Roho mbaya ni malezi mimi sijalelewa kuwa na roho mbaya, sikumkubusha nikamuacha aeleze shida yake, kumbe kaleta bidhaa zake nikamkabidhi kwa jamaa akamzungusha akauza akamaliza akapewa oda zingine Leo kaja kaleta mzigo mwingine kauza kamaliza kaja kuaga nikamwambia kila la kheri ndugu.
Kasepa,nilichojifunza kuwa utakayemfanyia roho mbaya utakuja kukutana nae tu mahali huwezi kuondoka utakutana nae. Kama unaweza kumsaidia mtu Kutokana na nafasi yako hapo ofisini saidia tu.
Very true mungu ana njia zake za kutufunza hapa hapa duniani, ila usilipize kisasi hata siku moja ,maana utakuwa huna tofauti na yeyeMaisha ni sanaa na kuishi ni maigizo tu. Dunia hii tunapita nyie mlioko maofisini kama mnaweza saidieni watu wanaoomba Msaada kwenu.Ilikuwa hivi jamaa nilikutana nae miaka mitatu nyuma mwaka 2022, ofisini kwa DC kwa yule Dada ambaye sasa hivi ni Don kule kwenye Chama cha kijani kibichi upande wa kina Mama yaani UWT.
Mimi nilikuwa na project yangu na Yeye ya kwake, stori za hapa na pale jamaa kanigusia inshu iliyomleta na mimi yangu kumbe zinafanana Bwana, tofauti yake kuwa Yeye alikuwa anaomba kibali Cha kuingia ndani ya Wilaya mimi nilikuwa naomba sapoti yake maana alinipromise nije nimuone. Jamaa alikuwa na ufadhili wa makampuni kadhaa na baada ya kunisikiliza kumbe inshu yangu ilikuwa ya moto yaani nikiiweka mezani kwa wale jamaa zake tutakuwa tumetoboa. Tukapanga mihadi ya kukutana tena tukafanya hivyo kama mara tano kwa siku tofauti tofauti.
Inshu ikaiva jamaa akaanza kona simu hapokei kila nikimcheki anakata simu,miezi ikakata Mwisho wa siku akanitumia meseji usinisumbue akaniblock. Sasa jana mabosi wote wamesafiri ofisi nimekabidhiwa mimi, naona jamaa anakuja na mgeni anamtambulisha kuwa huyo ndie boss eleza shida yako. Nikamkakaribisha kucheki sura lo! Kama nimewahi kuiona sehemu hivi, si mwamba akajitambulisha asalale ni yule yule jamaa.
Si unajua waswahili wanamsemo wao kuwa mla ndizi mwepesi kusahau ila mtupa maganda hawezi kusahau. Roho mbaya ni malezi mimi sijalelewa kuwa na roho mbaya, sikumkubusha nikamuacha aeleze shida yake, kumbe kaleta bidhaa zake nikamkabidhi kwa jamaa akamzungusha akauza akamaliza akapewa oda zingine Leo kaja kaleta mzigo mwingine kauza kamaliza kaja kuaga nikamwambia kila la kheri ndugu.
Kasepa,nilichojifunza kuwa utakayemfanyia roho mbaya utakuja kukutana nae tu mahali huwezi kuondoka utakutana nae. Kama unaweza kumsaidia mtu Kutokana na nafasi yako hapo ofisini saidia tu.
kwann hukumkumbushaMaisha ni sanaa na kuishi ni maigizo tu. Dunia hii tunapita nyie mlioko maofisini kama mnaweza saidieni watu wanaoomba Msaada kwenu.Ilikuwa hivi jamaa nilikutana nae miaka mitatu nyuma mwaka 2022, ofisini kwa DC kwa yule Dada ambaye sasa hivi ni Don kule kwenye Chama cha kijani kibichi upande wa kina Mama yaani UWT.
Mimi nilikuwa na project yangu na Yeye ya kwake, stori za hapa na pale jamaa kanigusia inshu iliyomleta na mimi yangu kumbe zinafanana Bwana, tofauti yake kuwa Yeye alikuwa anaomba kibali Cha kuingia ndani ya Wilaya mimi nilikuwa naomba sapoti yake maana alinipromise nije nimuone. Jamaa alikuwa na ufadhili wa makampuni kadhaa na baada ya kunisikiliza kumbe inshu yangu ilikuwa ya moto yaani nikiiweka mezani kwa wale jamaa zake tutakuwa tumetoboa. Tukapanga mihadi ya kukutana tena tukafanya hivyo kama mara tano kwa siku tofauti tofauti.
Inshu ikaiva jamaa akaanza kona simu hapokei kila nikimcheki anakata simu,miezi ikakata Mwisho wa siku akanitumia meseji usinisumbue akaniblock. Sasa jana mabosi wote wamesafiri ofisi nimekabidhiwa mimi, naona jamaa anakuja na mgeni anamtambulisha kuwa huyo ndie boss eleza shida yako. Nikamkakaribisha kucheki sura lo! Kama nimewahi kuiona sehemu hivi, si mwamba akajitambulisha asalale ni yule yule jamaa.
Si unajua waswahili wanamsemo wao kuwa mla ndizi mwepesi kusahau ila mtupa maganda hawezi kusahau. Roho mbaya ni malezi mimi sijalelewa kuwa na roho mbaya, sikumkubusha nikamuacha aeleze shida yake, kumbe kaleta bidhaa zake nikamkabidhi kwa jamaa akamzungusha akauza akamaliza akapewa oda zingine Leo kaja kaleta mzigo mwingine kauza kamaliza kaja kuaga nikamwambia kila la kheri ndugu.
Kasepa,nilichojifunza kuwa utakayemfanyia roho mbaya utakuja kukutana nae tu mahali huwezi kuondoka utakutana nae. Kama unaweza kumsaidia mtu Kutokana na nafasi yako hapo ofisini saidia tu.
ni sawa ila wahitimu wengi ni wahanga wa hayo mambo. Wengi wanaliwa pesa na kazi hawapati. Wakati mtu anakutapeli anajifanya ni mwema na atakusaidia kupata nafasi ya kazi mwisho wa siku anakugeuka. Mungu atawalipa.Maisha ni sanaa na kuishi ni maigizo tu. Dunia hii tunapita nyie mlioko maofisini kama mnaweza saidieni watu wanaoomba Msaada kwenu.Ilikuwa hivi jamaa nilikutana nae miaka mitatu nyuma mwaka 2022, ofisini kwa DC kwa yule Dada ambaye sasa hivi ni Don kule kwenye Chama cha kijani kibichi upande wa kina Mama yaani UWT.
Mimi nilikuwa na project yangu na Yeye ya kwake, stori za hapa na pale jamaa kanigusia inshu iliyomleta na mimi yangu kumbe zinafanana Bwana, tofauti yake kuwa Yeye alikuwa anaomba kibali Cha kuingia ndani ya Wilaya mimi nilikuwa naomba sapoti yake maana alinipromise nije nimuone. Jamaa alikuwa na ufadhili wa makampuni kadhaa na baada ya kunisikiliza kumbe inshu yangu ilikuwa ya moto yaani nikiiweka mezani kwa wale jamaa zake tutakuwa tumetoboa. Tukapanga mihadi ya kukutana tena tukafanya hivyo kama mara tano kwa siku tofauti tofauti.
Inshu ikaiva jamaa akaanza kona simu hapokei kila nikimcheki anakata simu,miezi ikakata Mwisho wa siku akanitumia meseji usinisumbue akaniblock. Sasa jana mabosi wote wamesafiri ofisi nimekabidhiwa mimi, naona jamaa anakuja na mgeni anamtambulisha kuwa huyo ndie boss eleza shida yako. Nikamkakaribisha kucheki sura lo! Kama nimewahi kuiona sehemu hivi, si mwamba akajitambulisha asalale ni yule yule jamaa.
Si unajua waswahili wanamsemo wao kuwa mla ndizi mwepesi kusahau ila mtupa maganda hawezi kusahau. Roho mbaya ni malezi mimi sijalelewa kuwa na roho mbaya, sikumkubusha nikamuacha aeleze shida yake, kumbe kaleta bidhaa zake nikamkabidhi kwa jamaa akamzungusha akauza akamaliza akapewa oda zingine Leo kaja kaleta mzigo mwingine kauza kamaliza kaja kuaga nikamwambia kila la kheri ndugu.
Kasepa,nilichojifunza kuwa utakayemfanyia roho mbaya utakuja kukutana nae tu mahali huwezi kuondoka utakutana nae. Kama unaweza kumsaidia mtu Kutokana na nafasi yako hapo ofisini saidia tu.
Kuna baadhi ya wafanyakazi wa pale OR-Utumishi wanaliza sana watu.Mungu anawaona.ni sawa ila wahitimu wengi ni wahanga wa hayo mambo. Wengi wanaliwa pesa na kazi hawapati. Wakati mtu anakutapeli anajifanya ni mwema na atakusaidia kupata nafasi ya kazi mwisho wa siku anakugeuka. Mungu atawalipa.
Hongera kwa kutokuwa na roho ya kisasi ila inatakiwa umkumbushe ili ajifunze.
Karma ingeishia pale pale.Mkuu ningelipa kisasi Karma ingekuwaje kwangu?
Jamaa alipaswa kumkumbusha maana watu wanasahau na huyo mtu akifanikiwa ataendelea kuwazibia na wengineHujamfundisha chochote we fl ataendeleza tabia zake.. ulipaswa umpe funzo sio kuwa muogamuoga
IKarma ingeishia pale pale.
Sasa umeichokoza wewe kwa kumto save menu yake. Ata save kwako. Atarudi kukupiga kivingine kwa uaminifu wako.
Utasikia yule jamaa bosi ndio alimruhusu na katupiga ... siku yako inakuja.