Ukisikia Kimeumana ndio hii...Utopolo waliamini wataanzia hatua ya kwanza walipoambiwa na domo kaya.wao ni wakudanganywa tu.
ai ndo ilo [emoji116]limepata ajali njiani?View attachment 2272639
Kwani Historua inazungumzia aina au quality ya kombe au Ubingwa? Mfano World Cup hata kama lingetengenezwa kwa udongo pale chenye nguvu ni ile kuwa champion, Tuache Uswahili mwingi sana yaani kila siku zinavyo songa mbele ndo kadri tunakuwa na kiwango cha juu cha uswahiliUtopolo kombe la SIDO bus walilotambia SIDO pia.
Kuna sheria wanavunja kwa wao kukodi? Ulitaka wanunue jipya then mwaka mzima liwe lina park kungojea ushindi?Afu wame kodi Uganda, lina plate no ya huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SIDO maana yake wana promote Small industry so kama ni la SIDO ni vizuri sana ni hatua kubwa sana kwa maendeleo ya nchi na pia wanatoa ajira ndani ya nchi kuliko ku importbasi la sido.[emoji116]View attachment 2272748
Unaujua Uchumi wa Hispania au thamani ya club ya Real Mdrid? Uwe unashirikisha Ubongo basi kabla ya kuchangia chochote kile,basi la [emoji116]Mdrid muonekano wake ulivyo.View attachment 2272738View attachment 2272739
Basi kaa kwa kutulia, enjoy ubingwaaa.Kuna sheria wanavunja kwa wao kukodi? Ulitaka wanunue jipya then mwaka mzima liwe lina park kungojea ushindi?
Kama ile canter mliyotumia mwaka jana sijui ni IPI bora, wivu Kama huu mara nyingi uwa wanao wachawiBasi linaonekana kama canter iliyowekewa bodi la basi na mafundi bajaji
HahaaaBasi linaonekana kama canter iliyowekewa bodi la basi na mafundi bajaji
Mwambie kuwa Real Madrid ndiyo klabu kubwa DunianiUnaujua Uchumi wa Hispania au thamani ya club ya Real Mdrid? Uwe unashirikisha Ubongo basi kabla ya kuchangia chochote kile,
Wangoje mwakani kulitumia? Mna guarantee nalo?Kuna sheria wanavunja kwa wao kukodi? Ulitaka wanunue jipya then mwaka mzima liwe lina park kungojea ushindi?