Aliyepewa kitengo cha kutuma sms sitapeliki Sasa imetosha😅🤣

Aliyepewa kitengo cha kutuma sms sitapeliki Sasa imetosha😅🤣

Nimeamua kumpiga block tu, maana dahh 🙂🙂🙂
 
Huyu mtumishi namkubali anakula mshahara wa halali

Ametukumbusha kuhusu matepeli

Kwa siku tutapokea SMS hazipungui 10 za SITAPELIKI

Sasa😅 imetosha kaka, ujumbe umeeleweka

Na hakika SITAPELIKi tena
Halafu ukiwatumia namba ya wanaodai ni waganga,
Dokta Maliganya, anatoa utajiri bila kafara, miliki pesa za majini, jiunge fremason. Kujiunga piga 0738xxxxx9.

Ukiwatumia namba iliyotuma huo ujumbe kwenye namba 15040 wanajibu. Inachunguzwa, baadae wanakupa jibu IMECHUNGUZWA HAIHUSIANI NA UTAPELI.

Sa sijui kwa vile hawa husaidia nyakati za uchaguzi na ni manabii wa giza hawahusiani na utapeli
 
Huyu mtumishi namkubali anakula mshahara wa halali

Ametukumbusha kuhusu matepeli

Kwa siku tutapokea SMS hazipungui 10 za SITAPELIKI

Sasa😅 imetosha kaka, ujumbe umeeleweka

Na hakika SITAPELIKi tena
Mavuno ya fweza yanafanyika hapo,wewe unataka mavuno yapotelee shambani?Hujui kama vipo vitengo vya uthibiti upotevu wa mavuno?Hujui kama vipo vitengo vya udhibiti wa upotevu wa mazao shambani?Ama hujui kama msimu wa chafuzi na fweza ndio mpango mzima?
 
Mavuno ya fweza yanafanyika hapo,wewe unataka mavuno yapotelee shambani?Hujui kama vipo vitengo vya uthibiti upotevu wa mavuno?Hujui kama vipo vitengo vya udhibiti wa upotevu wa mazao shambani?Ama hujui kama msimu wa chafuzi na fweza ndio mpango mzima?
Duuuh
 
Back
Top Bottom