Halafu ukiwatumia namba ya wanaodai ni waganga,Huyu mtumishi namkubali anakula mshahara wa halali
Ametukumbusha kuhusu matepeli
Kwa siku tutapokea SMS hazipungui 10 za SITAPELIKI
Sasa๐ imetosha kaka, ujumbe umeeleweka
Na hakika SITAPELIKi tena
Mavuno ya fweza yanafanyika hapo,wewe unataka mavuno yapotelee shambani?Hujui kama vipo vitengo vya uthibiti upotevu wa mavuno?Hujui kama vipo vitengo vya udhibiti wa upotevu wa mazao shambani?Ama hujui kama msimu wa chafuzi na fweza ndio mpango mzima?Huyu mtumishi namkubali anakula mshahara wa halali
Ametukumbusha kuhusu matepeli
Kwa siku tutapokea SMS hazipungui 10 za SITAPELIKI
Sasa๐ imetosha kaka, ujumbe umeeleweka
Na hakika SITAPELIKi tena
DuuuhMavuno ya fweza yanafanyika hapo,wewe unataka mavuno yapotelee shambani?Hujui kama vipo vitengo vya uthibiti upotevu wa mavuno?Hujui kama vipo vitengo vya udhibiti wa upotevu wa mazao shambani?Ama hujui kama msimu wa chafuzi na fweza ndio mpango mzima?