Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume kua mmbea ni hatari kwa afya yakoNasikia ni mngaga wao wa kienyeji.
Ile sura na rangu yake mbona zinajieleza tu mzeeMwanaume kua mmbea ni hatari kwa afya yako
Alikuganga......?Nasikia ni mngaga wao wa kienyeji.
KAMA wewe ni me aisee unaelekea kupigwa paipu... Au unapigwa paipuNasikia ni mngaga wao wa kienyeji.
Light skin mna shida sanaIle sura na rangu yake mbona zinajieleza tu mzee
Ni kocha msaidiziNaomba kufahamu yule jamaa mweusi aliyekuwa kwenye benchi la ufundi la Yanga jana ni nani? Anaitwa nani na pale benchi ni kocha wa viungo, makipa au daktari?
Nadhani alikwepo mechi chache nilishangaa kumwona kwenye red card tu kwingine sikumwona vizuriNi kocha msaidizi
Ile sura na rangu yake mbona zinajieleza tu mzee......Vipi sura mzazi wako anatahili kuwa muhemba wake
Mzazi handsome amzaaje mtoto mwenye sura mbaya?Are you sereous?
Huwa anakuwepo sema tu hana makeke kama Kaze ndio maana ni ngumu kumuonaNadhani alikwepo mechi chache nilishangaa kumwona kwenye red card tu kwingine sikumwona vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo akili yako ilipofikia.Ile sura na rangu yake mbona zinajieleza tu mzee
Kila mechi yupo wewe labda miwani yako ya macho ilipopasuka ujanunua nyingine acha wenge!Nadhani alikwepo mechi chache nilishangaa kumwona kwenye red card tu kwingine sikumwona vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafuasi wa mangungu awajawai kuwa na akili kichwani!Nasikia ni mngaga wao wa kienyeji.