Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wengi hatuna issue za kufanya. Hana issue zake huyoKweli mengine ndio yanazidisha umaskini, unaacha ishu zako unaenda kwenye kumuaga lowasa.
Hivi hakuzimia kweli?Aliyepigwa ni mpuuzi zaidi eti mtu kapigwa ngumi anasema kapigwa kofi!
AlizimiaHivi hakuzimia kweli?
tena kasema yuko fiti yeye ni mwanaharakati🤣Yupoo Na trend sanass youtube hukooo
Gumi la kanzola achana nalo, ni ngumi wanaitumia sana polisi wa msumbiji.mkuu gumi la "kanzola" ndo laaje.. halafu me najuwa kusweka ni lumande tu kumbe hata ngumi unaswekwa?
naunga mkono hojaShobo tu kwani kulikua na ulazima wa kwenda huko?
Mtu maisha magumu hata kula hujala unakimbizana kwenye mambo yasiyokuhusu.
Watanzania tupunguze shobo 😏😏
Wapigwe tu
Kwa baba mbinguniKatangulia wapi?
Tena mstari wa mbeleee unaingia hadi kati 🤔🤔
Faida ni nini?
Ifike mahala tusiteteane ujinga
Kwa magufuli yalikuwa full maigizo. Sukuma gang walikuwa wanalazimisha kuonyesha jamaa alikuwa anapendwaMbona kwa hayati Magu wanaliaji walikuwa wanagaragara mpk wanazuia msafara na hawakuguswa.. huyo mlinzi ni jinga kbs!
Hata mimi naweza kuamini jamaa hakunyenyuka mana inaonekana kapigwa kwenye koo likafyatuka.ile ilikuwa proffessional attack
nasikia jamaa katangulia