Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Mapinduzi ya Gabon yana mfanano na mapinduzi mengine yaliyofanyika nchi za Afrika Magharibi. Hata hivyo kuna vitu muhimu vinavyoyatafautisha mapinduzi hayo na wenzao.
Brice Oligui Nguema ni mjomba wa raisi aliyempindua ambaye alichaguliwa kuwa kiongozi wa kikosi cha kumlinda raisi huyo. Tofauti na wenzake wa Niger, Mali na Burkinafarso ambao wanalilia kutendewa vibaya na Ufaransa na kuwafanya wawe kama watumwa wa taifa hilo kiuchumi. Brice yeye inaonekana amekerwa zaidi na Ali Omar Bongo kuendelea kuwa raisi wakati ni mgonjwa wa kiharusi.
Mwenyewe Brice inasemekana ana majumba kadhaa nje ya nchi na amejilimbikizia fedha nyingi za kigeni kwenye mabenki ya nchi hizo. Alipoulizwa.
Kulingana na uchunguzi uliofanywa na taasisi ya kuchunguza ubadhirifu ya (OCCRP) kwa familia ya Bongo iligundua Brice naye alikuwa amewekeza kwenye mradi mkubwa akilipa pesa taslimu.Alikuwa amenunua mali hizo eneo la Hyattsville jimbo la Maryland mwaka 2015 na 2018 akilipia dola milioni moja.
Alipoulizwa na waandishi wa habari alijibu kwa jeuri “I think whether in France or in the United States, a private life is a private life that [should be] respected.”
Brice Oligui Nguema ni mjomba wa raisi aliyempindua ambaye alichaguliwa kuwa kiongozi wa kikosi cha kumlinda raisi huyo. Tofauti na wenzake wa Niger, Mali na Burkinafarso ambao wanalilia kutendewa vibaya na Ufaransa na kuwafanya wawe kama watumwa wa taifa hilo kiuchumi. Brice yeye inaonekana amekerwa zaidi na Ali Omar Bongo kuendelea kuwa raisi wakati ni mgonjwa wa kiharusi.
Mwenyewe Brice inasemekana ana majumba kadhaa nje ya nchi na amejilimbikizia fedha nyingi za kigeni kwenye mabenki ya nchi hizo. Alipoulizwa.
Kulingana na uchunguzi uliofanywa na taasisi ya kuchunguza ubadhirifu ya (OCCRP) kwa familia ya Bongo iligundua Brice naye alikuwa amewekeza kwenye mradi mkubwa akilipa pesa taslimu.Alikuwa amenunua mali hizo eneo la Hyattsville jimbo la Maryland mwaka 2015 na 2018 akilipia dola milioni moja.
Alipoulizwa na waandishi wa habari alijibu kwa jeuri “I think whether in France or in the United States, a private life is a private life that [should be] respected.”