Nyamemba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 845
- 447
Habarini! Kuna mtu anaitwa annania samweli alisomea mbeya secondary school centre. Kuna sehemu alikisahau cheti chake cha o'level arusha. Naomba msaidie kurusha kwenye groups mbalimbali na fb ili kama akipatikana tuweze kuwasaliana. Endapo atapatikana awasiliane na namba 0754 626166 au 0762 293426. Ahsanteni