Aliyepoteza Cheti cha FORM FOUR, soma hapa

Aliyepoteza Cheti cha FORM FOUR, soma hapa

Nyamemba

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
845
Reaction score
447
Habarini! Kuna mtu anaitwa annania samweli alisomea mbeya secondary school centre. Kuna sehemu alikisahau cheti chake cha o'level arusha. Naomba msaidie kurusha kwenye groups mbalimbali na fb ili kama akipatikana tuweze kuwasaliana. Endapo atapatikana awasiliane na namba 0754 626166 au 0762 293426. Ahsanteni
 
Habarini! Kuna mtu anaitwa annania samweli alisomea mbeya secondary school centre. Kuna sehemu alikisahau cheti chake cha o'level arusha. Naomba msaidie kurusha kwenye groups mbalimbali na fb ili kama akipatikana tuweze kuwasaliana. Endapo atapatikana awasiliane na namba 0754 626166 au 0762 293426. Ahsanteni

poa mkuu
 
Back
Top Bottom