risasi son
Member
- Jun 1, 2014
- 22
- 3
Pharmacy na MD kwa CBG siku hizi imeshakuwa shida.Ukijaribu kupitia Guide Book ya TCU utagundua vyuo vingi kasoro St. John vinahitaji ama Physics/Mathematics.Sina uhakika sana kama hii mathematics inaweza kuwa BAM.
All In all,kama unataka MD au Pharmacy kwa UHAKIKA go for PCB or CBM
Napia kusoma maswali magumu yakwenye Roja, uckate tamaa ukshndwa 2pia humu utasaidiwa. .