Aliyesoma HGE anaweza kusoma Bachelor of Accountancy?

Aliyesoma HGE anaweza kusoma Bachelor of Accountancy?

MATONYA new

Senior Member
Joined
Jan 21, 2021
Posts
140
Reaction score
331
Habari za leo wanajukwaa,

Naomba msaada kwa wale mliosoma au mnasoma Bachelor ya Accountancy chuo cha CBE. Naombeni kufahamu, kwa mtu ambae amesoma HGE miaka ya 2007, akiwa na matokeo ya HISTORY D, GEOGRAPHY D, ECONOMICS F NA BAM F, je anaweza toboa akianza kusoma course ya Accountancy kwa level ya bachelor?

Pia huyu mtu ni mwalimu wa masomo ya Geography na History

Msaada kwenu wakuu, na kama kuna mtu yupo karibu na Dodoma naomba aingie PM ili aweze kutoa msaada wa face to face kwa Dodoma
 
Duuh! History una D na Geography una D ilikuwaje Hadi ukawa Mwalimu? Kama wewe Mwalimu ulifeli History na Geography utawezaje kumfundisha Mwanafunzi Hadi aelewe na afaulu?
Uliwezaje kwenda Shule Cha Ualimu iliwa umefeli namna hiyo(DD)?
Ule Uhakiki wa watumishi kipindi like ilibidi uwafikie pia watumishi Kama wewe.
Mimi Kama mdau wa Elimu nimehuzunika Sana kua na Mwalimu aliyefeli Kama wewe. Samahani Kama ninekukwaza
 
Duuh! History una D na Geography una D ilikuwaje Hadi ukawa Mwalimu? Kama wewe Mwalimu ulifeli History na Geography utawezaje kumfundisha Mwanafunzi Hadi aelewe na afaulu?
Uliwezaje kwenda Shule Cha Ualimu iliwa umefeli namna hiyo(DD)?
Ule Uhakiki wa watumishi kipindi like ilibidi uwafikie pia watumishi Kama wewe.
Mimi Kama mdau wa Elimu nimehuzunika Sana kua na Mwalimu aliyefeli Kama wewe. Samahani Kama ninekukwaza
Umeelewa vizuri D anazoziengelea????

Au umemsimanga mwenzio bila hata kuelewa.

DDF ni sawa na DIV. 3.13.

Hata kwa vigezo vya leo University anaenda bila kikwazo chochote. Maana kigezo kikuu ni kuwa na D mbili.
 
Kimsingi sifa za kujiunga na chuo unazo, labda suala la ushindani tu likutoe mchezoni.
 
Umeelewa vizuri D anazoziengelea????

Au umemsimanga mwenzio bila hata kuelewa.

DDF ni sawa na DIV. 3.13.

Hata kwa vigezo vya leo University anaenda bila kikwazo chochote. Maana kigezo kikuu ni kuwa na D mbili.

Gredi kama hizo hata kama zinakupeleka hadi chuo kikuu bado zinaonesha huyo mtu ni dhaifu sana! Kwa nini ujivune kwa kupata DDF?
 
Gredi kama hizo hata kama zinakupeleka hadi chuo kikuu bado zinaonesha huyo mtu ni dhaifu sana! Kwa nini ujivune kwa kupata DDF?
Wewe una matatizo.

Kigezo cha watu kwenda Diploma ya ualimu na diploma zingine nyingi tu ni principal pass moja na Subsidiary. Wewe unaanza kubeza watu bila sababu za msingi.
 
Habari za leo wanajukwaa,

Naomba msaada kwa wale mliosoma au mnasoma Bachelor ya Accountancy chuo cha CBE. Naombeni kufahamu, kwa mtu ambae amesoma HGE miaka ya 2007, akiwa na matokeo ya HISTORY D, GEOGRAPHY D, ECONOMICS F NA BAM F, je anaweza toboa akianza kusoma course ya Accountancy kwa level ya bachelor?

Pia huyu mtu ni mwalimu wa masomo ya Geography na History

Msaada kwenu wakuu, na kama kuna mtu yupo karibu na Dodoma naomba aingie PM ili aweze kutoa msaada wa face to face kwa Dodoma
Inawezekana.
 
Habari za leo wanajukwaa,

Naomba msaada kwa wale mliosoma au mnasoma Bachelor ya Accountancy chuo cha CBE. Naombeni kufahamu, kwa mtu ambae amesoma HGE miaka ya 2007, akiwa na matokeo ya HISTORY D, GEOGRAPHY D, ECONOMICS F NA BAM F, je anaweza toboa akianza kusoma course ya Accountancy kwa level ya bachelor?

Pia huyu mtu ni mwalimu wa masomo ya Geography na History

Msaada kwenu wakuu, na kama kuna mtu yupo karibu na Dodoma naomba aingie PM ili aweze kutoa msaada wa face to face kwa Dodoma
Suala la kutoboa huwezi pata jibu hapa jamii forums, Hilo ni suala linamhusu mhusika mwenyewe. Ina maana huyo MTU form six level hawezi hata kusoma guide book akaelewa? Chuo ataweza kusoma na kuelewa kweli au ndo kila siku kupata namba za viatu?
Form six wa TZ kichekesho si bure kusikia graduates wa TZ hawaajiliki
 
Duuh! History una D na Geography una D ilikuwaje Hadi ukawa Mwalimu? Kama wewe Mwalimu ulifeli History na Geography utawezaje kumfundisha Mwanafunzi Hadi aelewe na afaulu?
Uliwezaje kwenda Shule Cha Ualimu iliwa umefeli namna hiyo(DD)?
Ule Uhakiki wa watumishi kipindi like ilibidi uwafikie pia watumishi Kama wewe.
Mimi Kama mdau wa Elimu nimehuzunika Sana kua na Mwalimu aliyefeli Kama wewe. Samahani Kama ninekukwaza
Wewe ni mshamba, hutakiwi kujibiwa
 
Duuh! History una D na Geography una D ilikuwaje Hadi ukawa Mwalimu? Kama wewe Mwalimu ulifeli History na Geography utawezaje kumfundisha Mwanafunzi Hadi aelewe na afaulu?
Uliwezaje kwenda Shule Cha Ualimu iliwa umefeli namna hiyo(DD)?
Ule Uhakiki wa watumishi kipindi like ilibidi uwafikie pia watumishi Kama wewe.
Mimi Kama mdau wa Elimu nimehuzunika Sana kua na Mwalimu aliyefeli Kama wewe. Samahani Kama ninekukwaza
Zamani ilikuwa watu walio pata dv 4 wanaenda ualimu kwa sasa sifahamu, wewe unashangaa muhuni kutoboa na principal mbili (dv3) alafu akaenda ualimu. Brother usituzingue na 1 yako sawa
 
Zamani ilikuwa watu walio pata dv 4 wanaenda ualimu kwa sasa sifahamu, wewe unashangaa muhuni kutoboa na principal mbili (dv3) alafu akaenda ualimu. Brother usituzingue na 1 yako sawa
Huyu jamaa hatakiwi kujibiwa
Entry qualifications degree yoyote ile uwe na pass 2 hata kwenye masomo ya science ukiwa na D unaingia, sema cut point kwenye ufaulu ndo zinatofautiana
 
Huyu jamaa hatakiwi kujibiwa
Entry qualifications degree yoyote ile uwe na pass 2 hata kwenye masomo ya science ukiwa na D unaingia, sema cut point kwenye ufaulu ndo zinatofautiana
Nashangaa anajifanya kama mgeni na elimu yetu, hao walio pata dv 4 ndio walio tufundisha sisi na hadi tukafaulu haitoshi kuwa ni kiashirio hata mtoa mada yupo vizur regardless ufaulu wake
 
Anaweza kama alipata angalau D ya Hesabu Form IV
Entry requirements za university
Principal mbili za somo lolote ila sio dini na somo la mathematics inatakiwa uwe na ufaulu wa kuanzia D iwe o level au advance, chukua account hiyo then CPA maisha yaendelee
 
Habari za leo wanajukwaa,

Naomba msaada kwa wale mliosoma au mnasoma Bachelor ya Accountancy chuo cha CBE. Naombeni kufahamu, kwa mtu ambae amesoma HGE miaka ya 2007, akiwa na matokeo ya HISTORY D, GEOGRAPHY D, ECONOMICS F NA BAM F, je anaweza toboa akianza kusoma course ya Accountancy kwa level ya bachelor?

Pia huyu mtu ni mwalimu wa masomo ya Geography na History

Msaada kwenu wakuu, na kama kuna mtu yupo karibu na Dodoma naomba aingie PM ili aweze kutoa msaada wa face to face kwa Dodoma
Anaweza kuchaguliwa kama alipata angalau D ya hesabu kidato cha nne.

Ila kwa matokeo yake haya Economics F na BAM F ataenda kuteseka mno,maana kuna Advanced Economics ni ngumu balaa,MANAGERIAL ECONOMICS hatariiii...Business Mathematics and Statics ni zaidi ya Advanced Mathematics kuna Calculus na Integration,Correlation and Regretion..hiyo Logarithm kuna wajinga wanasemaga haina Application kwenye maisha ya kila siku basi huko unakutana na APPLICATION OF LOGARITHMS IN BUSINESS AND REAL LIFE SITUATION....APPLICATION OF MATRIX IN BUSINESS hiyo ni 4 by 4 binamu..sasa achana na hii kuna course fulani ya kikuda sana inaitwa QUANTITAVE METHODS(QM) ni hatariiiii...madude kama COST ACCOUNTING,FINANCIAL MANAGEMENT,ADVANCED FINANCIAL ACCOUNTING,AUDITING n.k

Kwa kifupi huyu inaonekana kabisa ana allergy na hesabu asisogee huko ataenda kufeli tu...maana ni hesabu mwanzo mwisho,course chache sana ndo za maelezo tu like COMMUNICATION SKILLS,DEVELOPMENT STUDIES,RISK MANAGEMENT n.k nyingine ni hesabu mwanzo mwisho

Kuna hesabu za kuzima Scientific Calculator fake😀😀
 
Anaweza kuchaguliwa kama alipata angalau D ya hesabu kidato cha nne.

Ila kwa matokeo yake haya Economics F na BAM F ataenda kuteseka mno,maana kuna Advanced Economics ni ngumu balaa,MANAGERIAL ECONOMICS hatariiii...Business Mathematics and Statics ni zaidi ya Advanced Mathematics kuna Calculus na Integration,Correlation and Regretion..hiyo Logarithm kuna wajinga wanasemaga haina Application kwenye maisha ya kila siku basi huko unakutana na APPLICATION OF LOGARITHMS IN BUSINESS AND REAL LIFE SITUATION....APPLICATION OF MATRIX IN BUSINESS hiyo ni 4 by 4 binamu..sasa achana na hii kuna course fulani ya kikuda sana inaitwa QUANTITAVE METHODS(QM) ni hatariiiii...madude kama COST ACCOUNTING,FINANCIAL MANAGEMENT,ADVANCED FINANCIAL ACCOUNTING,AUDITING n.k

Kwa kifupi huyu inaonekana kabisa ana allergy na hesabu asisogee huko ataenda kufeli tu...maana ni hesabu mwanzo mwisho,course chache sana ndo za maelezo tu like COMMUNICATION SKILLS,DEVELOPMENT STUDIES,RISK MANAGEMENT n.k nyingine ni hesabu mwanzo mwisho

Kuna hesabu za kuzima Scientific Calculator fake[emoji3][emoji3]
Oya acha kumtisha teacher tumesoma na watu wametoka PCB NA PCM huko na wametoboa, we fanya application mda ukifika uicheze ngoma hiyo ya miaka mitatu
 
Oya acha kumtisha teacher tumesoma na watu wametoka PCB NA PCM huko na wametoboa, we fanya application mda ukifika uicheze ngoma hiyo ya miaka mitatu
Simtishi namwambia uhalisia,maana nimesoma course hiyo..Mimi mwenyewe nilitokea PCB na nilifaulu kuliko hata watu wa ECA na EGM nina first Class safi...ila usilinganishe watu wa sayansi mathalani PCB/PCM na watu wengine..hawa watu wanaweza kusoma course yoyote kwa level ya chuo na wakafaulu vizuri kuliko hata wenye background husika..hata ukisoma Prospectus za vyuo vingi wanaruhusiwa kusoma karibia kila course..unaijua PCB/PCM au unazikisikia tu?mkuu haya masomo ni magumu mno...na nafikiri ndo masomo pekee ambayo mpaka leo hayana TEXTBOOKS hapa nchini yana REFERENCE BOOKS...
 
Oya acha kumtisha teacher tumesoma na watu wametoka PCB NA PCM huko na wametoboa, we fanya application mda ukifika uicheze ngoma hiyo ya miaka mitatu
Ila pia inategemea ulisoma chuo gani,maana vyuo vyenu vya uchochoroni huko binamu elimu imekuwa ya kupeana tu😀😀
 
Back
Top Bottom