Aliyesoma HGE anaweza kusoma Bachelor of Accountancy?

Aliyesoma HGE anaweza kusoma Bachelor of Accountancy?

Ila pia inategemea ulisoma chuo gani,maana vyuo vyenu vya uchochoroni huko binamu elimu imekuwa ya kupeana tu[emoji3][emoji3]
Unataka ukuze mada, kaa chini pitia sera ya elimu ya mwaka 2014 upate utamu nadharia ya uchuo (udizm/yudom[emoji23][emoji23]) ikutoke
 
Anaweza kuchaguliwa kama alipata angalau D ya hesabu kidato cha nne.

Ila kwa matokeo yake haya Economics F na BAM F ataenda kuteseka mno,maana kuna Advanced Economics ni ngumu balaa,MANAGERIAL ECONOMICS hatariiii...Business Mathematics and Statics ni zaidi ya Advanced Mathematics kuna Calculus na Integration,Correlation and Regretion..hiyo Logarithm kuna wajinga wanasemaga haina Application kwenye maisha ya kila siku basi huko unakutana na APPLICATION OF LOGARITHMS IN BUSINESS AND REAL LIFE SITUATION....APPLICATION OF MATRIX IN BUSINESS hiyo ni 4 by 4 binamu..sasa achana na hii kuna course fulani ya kikuda sana inaitwa QUANTITAVE METHODS(QM) ni hatariiiii...madude kama COST ACCOUNTING,FINANCIAL MANAGEMENT,ADVANCED FINANCIAL ACCOUNTING,AUDITING n.k

Kwa kifupi huyu inaonekana kabisa ana allergy na hesabu asisogee huko ataenda kufeli tu...maana ni hesabu mwanzo mwisho,course chache sana ndo za maelezo tu like COMMUNICATION SKILLS,DEVELOPMENT STUDIES,RISK MANAGEMENT n.k nyingine ni hesabu mwanzo mwisho

Kuna hesabu za kuzima Scientific Calculator fake[emoji3][emoji3]
@Stanboy umetishaaaa kama unavyo nitishia
Hahahaaaaa
Nimekuelewa mkuu, na as long as am prepared and determined, nitasoma mkuu
Najuwa chuo hakina tuition, nitakutafuta uwe unanipa tuition
 
Back
Top Bottom