Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri waje wakuu
Ngoja wataalam waje
Haina dili hiyo.
Iko very limited kwenye kuiajiri mkuu. Labda uwe mtu wa sound nyingi. Yan ufanye consultation na uwe una wa draftia watu/coy tender na jinsi ya ku bid. Imekaa ki mjin mjin sana kama hutapata employment itabid ndo uwe unapiga dili hizo na kuzipata ndo uwe mtu wa mizunguko na kujimix na watu.
So kozi hii imekaa kuajiliwa sana cio?
ndo hivyo mkuu, bila kuajiriwa ni ngumu kujiari kwenye field ya procurement.