Aliyetaka kushindana na Ndugai aenguliwa, yeye si mbunge

Aliyetaka kushindana na Ndugai aenguliwa, yeye si mbunge

Hivi ni utaratibu gani Al-Shabaab huwa wanautumia kuingia kwenye majengo na kujilipua?
 
Ni kweli Spika si lazima awe mbunge, ila kama anayegombea nafasi hiyo si mbunge kuna utaratibu wa kufuata, chama chake kinapeleka jina lake NEC ili wajiridhishe kama ana sifa za kuwa mbunge ndio NEC waliidhinishe jina lake kugombea uspika.

Kwa maelezo hayo hapo juu, huyu mtu hakutimiza sharti hilo kama ilivyodaiwa na bwana Kigaigai mbali na kuwa maombi yake yalifika nje ya muda ulioruhisiwa.
Kwani kuwa spika ni lazima udhaminiwe na chama cha siasa?
 
Sifa ni zaid ya hizo
1) Uwe na umri wa kuanzia miaka 21
2) Uwe ni Raia wa JMT
3) uwe hujawahi kukutwa na hatia ya Jinai si chini ya miaka 5
4) uwe na akili timamu
5) Ujue kusoma na kuandika
Kigezo cha kuwa qualified kuwa member of parliament ni kipi zaidi ya kujua kusoma na kuandika?

Wamempendelea Ndugai, wanaogopa ushindani kama kawaida yao.
 
Sifa ni zaid ya hizo
1) Uwe na umri wa kuanzia miaka 21
2) Uwe ni Raia wa JMT
3) uwe hujawahi kukutwa na hatia ya Jinai si chini ya miaka 5
4) uwe na akili timamu
5) Ujue kusoma na kuandika
Nyongeza, uwe mwanachama wa chama cha siasa.
 
Kigezo cha kuwa qualified kuwa member of parliament ni kipi zaidi ya kujua kusoma na kuandika?

Wamempendelea Ndugai, wanaogopa ushindani kama kawaida yao.
Umri,kutokuwa na kosa la ukwepaji kodi katika kipindi cha miaka 5 mfululizo
 
Back
Top Bottom