Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa

nina digrii ya jf ebu soma cheo changu Expert member
 
Nakuja mkuu
 
ni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.
Unatafuta mwenza alafu unakua na hasira,unaleta picha gani?kumbuka mwanaume anapenda zaidi utulivu..onyesha upole na unyenyekevu wakupende kwa huruma yako na upole wako...hapo unajiharibia.
 
Sijaelewa hapo
 
Naona yale yaliyotabiriwa kwenye kitabu cha ISAYA 4:1 yanaanza kutimia....!!!
 
sipo naye pm unikomee usinizoe
Sisi wengine tuko series sana,ila nasisi pia kama wanaume na binadamu tunachoka mno na namna munavyochagua vigezo...kumbuka binadam hawezi kuwa vile unavyotaka yani unachagua kana kwamba uko kiwandani!!!

MUNGU binadam wote katuumba na kasoro kasoro.
 
Duuuh..! Post [HASHTAG]#189[/HASHTAG] inamaanisha mwenye uzi ni dume kumbe. Huko pm wawindaji watageuka wawindwa
 
Nasema ukimpata jua umepata tabu san na kichapo chake ni cha mbwa mwitu
 
Mtanange huu unawahusu wazee kumbembe sisi view Jana chenga nyingi kama ronaldo na mesii ila kama VIP m text company beki wa man city naona atakufaa zaidi maana yupo kwenye form
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…