Aliyetuloga Watanzania ni nani?

Aliyetuloga Watanzania ni nani?

Sozo_

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
776
Reaction score
1,132
Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.

Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.

Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.

Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
 
Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.

Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.

Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.

Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!

Usijali mkuu:

IMG_20220927_190940_421.jpg
 
Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.

Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.

Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.

Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
Faraja ya maskini ni umbea na tajiri kufilisika
 
Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.

Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.

Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.

Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
1. Mpira (hasa hasa Yanga na Simba)
2. Ngono (pisi kali, makalio makubwa, kula tunda kimahasira)
3. Umbea kuhusu wasanii wetu uchwara na watu wenye umaarufu wa uchwara uchwara.
 
Faraja ya maskini ni umbea na tajiri kufilisika
Nadhani hili liko zaidi Tanzania. Kenya huwezi kuwa-brain wash namna hii. Tatizo liko kwenye elimu yetu. Kuna wasichana fulani nawafahamu, wamesoma nje ya nchi, ni wadogo kiumri around 20 to 25 years, wana shahada moja tu lakini wakizungumzia jambo lolote wanakuwa na uelewa mkubwa kweli kweli.
 
Prof Jay :- waTanzania wanapenda starehe kuliko kazi.
Namalizia na mimi kusema waTanzania wengi ni viazi maisha yao ya kibazazi umbea unoko kwao ni sawa na chai maandazi.
Inasikitisha mnoo!!
 
1. Mpira (hasa hasa Yanga na Simba)
2. Ngono (pisi kali, makalio makubwa, kula tunda kimahasira)
3. Umbea kuhusu wasanii wetu uchwara na watu wenye umaarufu wa uchwara uchwara.
Ujinga ujinga tunatoka kwenye reli
 
Nadhani hili liko zaidi Tanzania. Kenya huwezi kuwa-brain wash namna hii. Tatizo liko kwenye elimu yetu. Kuna wasichana fulani nawafahamu, wamesoma nje ya nchi, ni wadogo kiumri around 20 to 25 years, wana shahada moja tu lakini wakizungumzia jambo lolote wanakuwa na uelewa mkubwa kweli kweli.
Nani atuokoe taifa letu?
 
Back
Top Bottom