Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alikosea Sana kuingiza siasa kwenye elimuNchi imejengwa kwwnye misingi ya uwongo na magumashi
Wao waliingiza siasa za maendeleo.sisi blah blah za MwalimuSiasa mbona wengine wanayo ila hawana huu ujinga ujinga
Wametengeneza mifumo ya kutuvuta nyuma Ili tusitoboe kwao KILA kitu jibu ni katazo na sio solution ya katazoTukitaka tamaa tutaendelea kuwa na kizazi cha hovyo
Na kuiingiza nchi kwenye maagano ya kichawi, ie mwengeNyerere alikosea Sana kuingiza siasa kwenye elimu
Hao unaosema 'wamepata neema ya ukombozi wa kifkra watusaidie'. Tukiwa weka kwenye 'chujio la pili' nao wanahitaji msaada mkubwa. Ukombozi wa kifkra huwa ni ' infinity process'. And very volatile. Kwani huwa unacheza na kiini tete(Stem cell) Na mara nyingi ukicheza nacho unaweza ku- create dinosaur likakumaliza kwenye mabara.Waliopata neema ya ukombozi wa fikra zao watusaidie
Sasa mbona hutaki kurekebisha alipokosea yeye??Nyerere alikosea Sana kuingiza siasa kwenye elimu
Mwenge!Kitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.
Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.
Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.
Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
Kubadili mfumo ni suala la Jamii na sio mtu binafsiSasa mbona hutaki kurekebisha alipokosea yeye??
Badala yake na wewe unaendeleza makosa wakati ushagundua kosa
Huo sasa ni mpumbavu
Maana mjinga akigundua kosa anarekebisha
Upumbavu unazaliwa nao huwez kuutoa
Bilashaka ww Ni house girl wake masanjaKitu kinatunyima fursa ya kufika mahali ni kupenda umbea hasa linapozushwa jambo la mahusiano.
Mjadala wa Katibu na Masanja umetuhamisha na mitandao imetawala taarifa ambayo haijulikani ni kweli au ni kitu cha kutengeneza.
Watanzania warahisi sana kuwahamisha kwenye Reli hasa ukileta mambo ya ngono ngono.
Tunahitaji ukombozi wa fikra kabla ya kudai Katiba mpya, tunakuza yasiyopaswa kukuzwa. Kwa kifupi ni warahisi kusahaulishwa na upuuzi!
Nini kifanyike Sasa?Hao unaosema 'wamepata neema ya ukombozi wa kifkra watusaidie'. Tukiwa weka kwenye 'chujio la pili' nao wanahitaji msaada mkubwa. Ukombozi wa kifkra huwa ni ' infinity process'. And very volatile. Kwani huwa unacheza na kiini tete(Stem cell) Na mara nyingi ukicheza nacho unaweza ku- create dinosaur likakumaliza kwenye mabara.