Aliyetuloga Watanzania ni nani?

Tumekata tamaa ya maisha bora tujifariji na udaku wa ngono
 
Waliopata neema ya ukombozi wa fikra zao watusaidie
Hao unaosema 'wamepata neema ya ukombozi wa kifkra watusaidie'. Tukiwa weka kwenye 'chujio la pili' nao wanahitaji msaada mkubwa. Ukombozi wa kifkra huwa ni ' infinity process'. And very volatile. Kwani huwa unacheza na kiini tete(Stem cell) Na mara nyingi ukicheza nacho unaweza ku- create dinosaur likakumaliza kwenye mabara.
 
Nyerere alikosea Sana kuingiza siasa kwenye elimu
Sasa mbona hutaki kurekebisha alipokosea yeye??
Badala yake na wewe unaendeleza makosa wakati ushagundua kosa
Huo sasa ni mpumbavu

Maana mjinga akigundua kosa anarekebisha

Upumbavu unazaliwa nao huwez kuutoa
 
Mwenge!
 
Sasa mbona hutaki kurekebisha alipokosea yeye??
Badala yake na wewe unaendeleza makosa wakati ushagundua kosa
Huo sasa ni mpumbavu

Maana mjinga akigundua kosa anarekebisha

Upumbavu unazaliwa nao huwez kuutoa
Kubadili mfumo ni suala la Jamii na sio mtu binafsi
 
Bilashaka ww Ni house girl wake masanja
 
Nini kifanyike Sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…