Tetesi: Aliyetumika kumrubuni Patrobas Katambi kuhamia CCM!

MH. HAONGA mbunge wa mbozi na david silinde wa momba watakuwa na majibu maana nahisi hawa wote wilaya moja ya mbozi ingawa silinde kwasasa yupo wilaya ya momba. nahisi watakuwa wanamjuwa
 
Ungesema tu kuwa Juliana Shonza au kama ni mwingine sema.Mnajifanya mna habari za kiuchunguzi wakati umesikia tu kijiweni.
 
Sasa huyo naibu waziri mwenyewe hadi kupata hiyo nafasi ameshazunguka vitanda kibao kufika hapo alipo atanaka katambi akatoe nn ili nae afaidi matunda? namsihi katambi achanganye na zake vinginevyo anaenda kutatuliwa muda sio mrefu!
 
Nje ya Mada
Kwa wale wasiojua,naibu waziri wa Michezo ni Juliana Shonza
 
patrobas mwenyewe alikua hana la maana bavicha sasa ya nini kumjua aliemrubuni!
 
Juliana shonza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…