FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Hii series nasema ndiyo best kabisa imeigiza maisha watu wanavyokimbizana na hatima zao Kwa tamaa ya pesa
Ila kinachoniumiza kichwa hii series Kila mtu ALIESHIRIKI amechezewa mchezo 😁hata UKIITAZAMA TU umechezewa mchezo pia
Ukimuhadisia mtu ndiyo kabisa utaona tu unahadisia ujinga kila tukio kwenye season 1 Lina maana kubwa season two so huwezi kuangalia two ukaelewa kama one haukuangalia
Ukiwa na akili timamu huwezi kuwaza kama aliewaza mtunzi wa hii series
Ila kinachoniumiza kichwa hii series Kila mtu ALIESHIRIKI amechezewa mchezo 😁hata UKIITAZAMA TU umechezewa mchezo pia
Ukimuhadisia mtu ndiyo kabisa utaona tu unahadisia ujinga kila tukio kwenye season 1 Lina maana kubwa season two so huwezi kuangalia two ukaelewa kama one haukuangalia
Ukiwa na akili timamu huwezi kuwaza kama aliewaza mtunzi wa hii series