Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Huwa nawaza sana unaanzaje kuua mkeo au mtu kwa mambo ya kipuuzi tu.mwache aende ili ujiepushe na mengi.
Juzi mjinga mmoja kaniita mtumwa nikmwangalia nikataka nimtokee nimmalize sauti ya mungu ikaniambia achana nae. nikajiondokea.vinginevyo yule ningekesha nae tunaburutana tu huko nje.na bahati mbaya nikianza simalizi mpaka nihakikikishe umenock down.
Mengine unajiepusha tu.
 
Nini kifanyike kurudisha maupendo

Ova
Wanawake hata Kama Wana hela kutuzidi wa play role yao ya mama wa familia.
Wanaume tuache pombe na michepuko ya kiwazi wazi (hakuna mwanamke asiyependa kuheshimiwa)
Lkn above all, wanawake waache visingizio vya Mara tumbo linauma, Mara kichwa , Mara ngoja watoto walale, Mara ngoja nimalize novel yangu. Tupeni hicho kitu vizuri muone Kama Kuna mtu atachepuka. Especially kile Cha swalah swalah
 
Hahahah

Ova
 
Tatizo kuna wanaume napo wakishapata pesa
Yule aliyeanza naye life yuko naye tokea anapigika anamtosa,anawatafuta sasa wakina
Mbtuwy typ

Ova
Sio wote wamama wakizipata wanaume wanapata tabu saaaaana yaani
 
Wapo wanawake Kazi yao ni kuwakera wanaume hata awajui nini maana ya kuolewa then mume akikimbia manyanyaso uenda kumlilia mwaposa awape mafuta ya upako Ili waume zao warudi.
Wanaume ni wavumilivu Sana na akiamia kuondoka nyumbani arudi anaenda anza maisha mapya na mwingine
 
Tatizo kuna wanaume napo wakishapata pesa
Yule aliyeanza naye life yuko naye tokea anapigika anamtosa,anawatafuta sasa wakina
Mbtuwy typ

Ova
Inategemea hapa.Ishiwa pesa uijue tabia ya mke wako.
Wapo wanawake wanyanyasaji Sana wa waume zao waliofulia sasa hapa mume sio wa kulaumiwa akibadili usajili
 
Inategemea hapa.Ishiwa pesa uijue tabia ya mke wako.
Wapo wanawake wanyanyasaji Sana wa waume zao waliofulia sasa hapa mume sio wa kulaumiwa akibadili usajili
Mh ila mwanamke akikuzidi cheo,kipato,elimu nk
Ni shida anaweza akakupangia mpaka muda wa kurudi😂😂😂

Huu ushahidi nnao kna mtu namjua nlikuwa napiga naye ulabu yalimkuta haya

Ova
 
Jamaa ni mzembe sana akina Mzava ni wahaya na jamaa kwa uzembe kakimbilia Kagera yaani kwao badala angevuka boda hata Uganda au Burundi
 
Huyu Mzava namfahamu enzi zile za 2005-2010 alikuwa na biashara ya vinywaji na Pork nyuma ya fence ya EPZ/makuburi
 
Unaua unakimbilia muleba kweli huyu hmnazo. Badala ya kwenda hata malawi huk, uganda ama rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…