Na learned ukumbuke pia defence ya insanity ili isimame lazima kuna condition Kama 3 hvii Refer the M'naghten Rule,
1.lazima isipitike kwamba wakati anafanya hcho kitendo alikuwa na matatizo ya akili .
2.lazima ithibitike kwamba Huyo accused did not know the nature and the quality of the act. Kwa kifup alikuwa hajui nini anakifanya.
3.kama alikuwa anajua nn anakifanya basi lazima isibitike kwamba alikuwa hajui nini kitakuja tokea bdae..
So mapepo sidhan Kama ni defence kweny criminal offences, labda defence au kitu ambacho mm Naona kitamsaidia n kwamba alifanya hcho kitendo akiwa hajui anachokifanya,,, so ni manslaughter which means dhamana atapata na anaweza kuwa huru
Sent from my TECNO-C8 using
JamiiForums mobile app