Aliyevuliwa Umeya Moshi autaka tena, achukua fomu kuomba upya

"Wananchi Moshi Wamchangia Aliekuwa Meya Wa Moshi Juma Raibu Fedha Kwa Ajili ya Kuchukua Fomu Tena Kuwania Umeya Kwani Wanasema Anafaa Ktk Nafasi Hiyo, Maelfu Ya Wananchi Hao Wanejotokeza Leo Nyumbani Kwake Kata Ya Bomambuzi Manispaa Ya Moshi, Wananchi wamesema arudishwe tena" https://t.co/4YMGE35FZA
 
JUMA RAIBU namini kama ni shoga hayo ni mambo yake binafsi na asihukumiwe kwa hilo, anapaswa kulindwa na wazungu kama mashoga wengine wanavyolindwa:

Ameondolewa umeya kwa kuhudhuria sherehe ya mashoga zake sasa kwani ni dhambi? Sheria inakataza kuhudhuria birthday ya mashoga ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…